Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Ninashahada ya elimu ' upper second class', malengo yangu ni kujiunga na masomo ya post graduate diploma in procurement and supply au procurement and logistics pale NIT ingawa hadi sasa sijui nisome ipi kati yaa hizo.Hivyo, naomba kufahamishwa utofauti wa kozi hizo na ipi ni bora zaidi kuliko nyingine kwani lengo langu ni kujiajili.Pia ningependa kupata ushauli zaidi.Nawasilisha.