Recent content by kasweswe

  1. K

    Letter to African parents

    It's really pain to most African parents having this shit parenting, thinking the sign of love while killing them slowly.
  2. K

    Nadharia ya binadamu wa specie tofauti kuwahi kuishi duniani

    Ni kweli lakin usiwe mvivu kufikiri
  3. K

    Je, ni kweli kuwa ulimwengu huu ni kifungo cha nafsi?

    Daaaah jaman mbona dunia hii ya ajabu sana yani mi nimesoma huu uzi naona wenge tu sijui wenzangu wanajamvin
  4. K

    Katibu mkuu utumishi Dr Ndumbaro atolea ufafanuzi annual increment kwa watumishi wa umma

    Yani wewe ni ZERO kabsa .....brainless headed. Watumishi wauma wote waache kazi ? Unajua athari zake? Punguza kura chipsi ili ufaham wako urudi kawaida.
  5. K

    Jifunze jinsi ya kutumia 'Should', 'Could' & 'Would'

    Haaaahaaaaa I've seen you have broken the kiinglish ....."those who needs" this really not correct. Any way can be typing errors.
  6. K

    Sasa nataka nijifunze Kiingereza cha Kuandika...

    If you are really interested with learning English language in both four aspects you just DM me I'll take you to a new level of proficiency and it's my hope that you will be helped to improve your fluency. I have experiences of 10 years.
  7. K

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Jamani ule wimbo wa Simba akifungwa huwa wanaupost sana .....Unaimbwa Congo yetu ...........unaitwaje ule wimbo nautafuta sana
  8. K

    Serikali ya Tanzania yaanza kurejesha korosho kwa wakulima

    Kaaakaaaa ni hatar Sent using Jamii Forums mobile app
  9. K

    Tundu Lissu usisumbue watu Serikali ya CCM imetekeleza elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne bure

    Tanzania ni ufaulu mbele uelewa nyumaaaa haaahaaaa this is free indeeed Sent using Jamii Forums mobile app
  10. K

    Serikali ya Tanzania yaanza kurejesha korosho kwa wakulima

    Utasikia mabeberu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. K

    Nawezaje kujifunza lugha ya Kingereza mwenyewe?

    Totally impossible. I remember I tried to do it alone when I was 20 but i faced with many challenges, you can try to it but you need to have a very long run to at least knowing how to ask for the services and other normal talks....try to find an English speaking partner then make serious...
  12. K

    Hivi Haiwezekani Sheria kabla ya kuanza kufanya kazi ikarudishwa bungeni kufanyiwa marekebisho ?

    Wadau na wanufaika wa mifuko ya jamii, ndugu wanajamii Mimi ni mmoja kati ya wananchi wakswaida mwenye muono wa udosari katika Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii, hii Sheria inaonesha moja kwa moja ya kwamba wabunge waliipitisha pasi kuangalia side effect kwa wanufaika na mifuko hii. Hii...
  13. K

    Dr. Msigwa wa TUCTA kuungana na wa CCM kuwakandamiza watumishi , inauma sana

    Kaka kamwe hawasathubutu kuja huku .....kwani thread imegusa pahala pake ..wao wako na HAPA KAZI TU.
Back
Top Bottom