Recent content by KASULA

  1. K

    PICHA: Yaliyojiri Bungeni - Sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge!

    we we we we we acha zako. ivo ili bunge linaendelea au vp? kiingilio bei kani? (naulizia special seat nikaone (VIP)vizuuuuuuuuuuuri mabondia)
  2. K

    PICHA: Yaliyojiri Bungeni - Sugu akiburuzwa ili atoke nje ya bunge!

    Ha ha ha ha ha aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hahahaha mmmmmnh mmmmmmmnh mmmmmmmmnh
  3. K

    Niliambukizwa HIV na mtu niliyemwamini!

    Nami nikwambie pole zaidi ya wengine. ww kweli ni msomi jasiri. ulichokosea ni kufanya mapenzi nje ya ndoa na inawezekana huyo mwenza wko hukumfanyia uchunguzi kwa kina juu ya tabia yake. Lakini yote hayo tuckulaumu xana kwani kila mtu anaweza kuchelea kma hivyo. bado nafac ya kuwa na mwenza...
  4. K

    Afrika Kusini wajitokeza katika maandamano kupinga kuja kwa rais Obama

    :majani7: obama obama obama. :painkiller: aaa obana kaondoka na yoteeeeeeeeee :clap2: wee zimwi mwache achukue, atajenga barabara
  5. K

    Afrika Kusini wajitokeza katika maandamano kupinga kuja kwa rais Obama

    jamani ujio wa obama una ajenda miongoni mwa zifuatazo: 1. gesi ya mtwara (ambayo karibu wnanchi wnawania ibak mtwara au dar) 2. ushoga (wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka kikatiba) laana ya ALLAH kwa kitendo hichi. 3. hili la gesi ni mambo ambayo tumeshayazoea kuwa rasilimali zetu kumilikiwa...
  6. K

    TCU imebadilishia course applicants..go and check NOW!

    TCU ww acha tu, noooomaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!! . mm mwenyewe niliomba education lakini wakanipa sp, wacha nikate mishahara ya watu!!!!!!!!!!!!!!!
  7. K

    Walimu wamepoteza heshima yao kwa jamii. Wamekalia madai tu.

    Jamaa kaongea ww kama unatoka shinyanga umesoma dar usilazimishe kubaki dar tu. nenda kafundishe ulikopangiwa, huko ndiko kuna tatizo kubwa. Inakuwaje tena kuleta siasa ndani ya suala la msingi? OKOA TAIFA LAKO KATAA MUUNGANO
  8. K

    Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

    Watu wengine bhana! mambo madogo kma haya mnayaleta jamii, ss kwenye research umefanya nn ww? Mi nahic unataka tukuambie umruhusu jamaa atumie chance amwahi shemeji kabla hajarudi au? Sio wote ni thinker; Mi nahisi una njia nyingi z kumkomesha asikufuate, tuliza akili kma ww n thinker w ukweli...
  9. K

    Mke wa jamaa ananisumbua

    Kwanza jiulize kama ni mke wako angekuwa kama yy ungependa afanyw vp? ha ha haaaaaa.... inauma eeeeeeeeeeeh?
  10. K

    Yupo kwenye wakati mgumu sana namuonea huruma ila ndo hivyo sina jinsi

    Pole dd. unapaswa ulie kuwa na moyo dhaifu kma huo.................. mtenda hutendwa (Action always are revised). And for case like this we we say .......... women.... chicken:playball: Nipo tayari kuibeba aibu ya kuvunja uchumba na ndoa iliyopangwa ila sijui nitamwambiaje ticha maana mpaka...
  11. K

    Mwaka mpya 2013 umekukuta unafanya nini?

    Maasha ALLAH. Mwaka mpya niliusubiri kwa kusikiliza maneno matam kuliko chochote (QUR AN). Huku nikiwashangaa wanao weka ghasia mitaani na kuukaribisha kwa maneno ya iblisi la i'n. (muziki/nyimbo). Hivi niwangapi tulojihesabu tumefanya wema gani kwa ALLAH, na tumeasi kiasi gani? na tumejipanga...
  12. K

    Mwaka mpya 2013 umekukuta unafanya nini?

    Maasha ALLAH. Mwaka mpya niliusubiri kwa kusikiliza maneno matam kuliko chochote (QUR AN). Huku nikiwashangaa wanao weka ghasia mitaani na kuukaribisha kwa maneno ya iblisi la i'n. (muziki/nyimbo). Hivi niwangapi tulojihesabu tumefanya wema gani kwa ALLAH, na tumeasi kiasi gani? na tumejipanga...
  13. K

    Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

    Shukran sheikh kwa ujasiri wako wa kuitetea dini ya kiislam kwa hali na mali INSHA ALLAH MUUGU akupe ujasiri zaidi ya hapo AAAMMMMMMMMMMMMMIIINNNNN
Back
Top Bottom