Mwaka mpya 2013 umekukuta unafanya nini?

Mwaka mpya 2013 umekukuta unafanya nini?

Maasha ALLAH. Mwaka mpya niliusubiri kwa kusikiliza maneno matam kuliko chochote (QUR AN). Huku nikiwashangaa wanao weka ghasia mitaani na kuukaribisha kwa maneno ya iblisi la i'n. (muziki/nyimbo).
Hivi niwangapi tulojihesabu tumefanya wema gani kwa ALLAH, na tumeasi kiasi gani? na tumejipanga vp kutubia maasi hayo ktk mwaka huu!!? Au tuna uhakika kama tutafika mwaka 2014? Kazi kupenda upuuzi tu! Tafakari, kisha jihadhari. Uhai ni amana, wakati wwte utatutoka. MAASSALAAM
 
Dah! For the first time New Year imenikuta sober bila kupuliza blazeee. Nilikuwa nimembeba mwanangu namuimbia Happy New Year. My lil' precious gift.
 
Dah! For the first time New Year imenikuta sober bila kupuliza blazeee. Nilikuwa nimembeba mwanangu namuimbia Happy New Year. My lil' precious gift.

Uwe sober mwaka mzima best....unajua watu8 anapenda sana kukuona uko hivyo.
 
Uwe sober mwaka mzima best....unajua watu8 anapenda sana kukuona uko hivyo.

hahaha. watu8 bwana. Haya best usijali, na sio mwaka mzima tu, for the rest of my life, help me God.
 
Ulinikuta strip club. Kwa wale wapenzi wa The Penthouse on Georgia Avenue mnanipata🙂
 
Back
Top Bottom