Maasha ALLAH. Mwaka mpya niliusubiri kwa kusikiliza maneno matam kuliko chochote (QUR AN). Huku nikiwashangaa wanao weka ghasia mitaani na kuukaribisha kwa maneno ya iblisi la i'n. (muziki/nyimbo).
Hivi niwangapi tulojihesabu tumefanya wema gani kwa ALLAH, na tumeasi kiasi gani? na tumejipanga vp kutubia maasi hayo ktk mwaka huu!!? Au tuna uhakika kama tutafika mwaka 2014? Kazi kupenda upuuzi tu! Tafakari, kisha jihadhari. Uhai ni amana, wakati wwte utatutoka. MAASSALAAM
Hivi niwangapi tulojihesabu tumefanya wema gani kwa ALLAH, na tumeasi kiasi gani? na tumejipanga vp kutubia maasi hayo ktk mwaka huu!!? Au tuna uhakika kama tutafika mwaka 2014? Kazi kupenda upuuzi tu! Tafakari, kisha jihadhari. Uhai ni amana, wakati wwte utatutoka. MAASSALAAM