Mke wa jamaa ananisumbua

Mke wa jamaa ananisumbua

Acha ujinga kabisa kwani mlianza vipi paka akapata nafasi ya kukuzoa mpaka mkafikia wakati wa kuandikiana sms inaonekana mazingira umeyatengeneza wewe mwenyewe afu unakuja kutusumbua
 
Yaani mtu amekukalibisha mjini na kukulea kwa miezi 8 ndoo unataka kumshukuru kwa Kutafuna mke wake? Unatafuta laana wewe.
 
A man who hires a detective should be included in the list of suspects. - Mpitagwa
 
Last edited by a moderator:
Nenda siku moja pale nyumbani na hakikisha wapo wote, huyo mwanamke na mumewe!! Lakini kabla hujafika, tegesha alarm kwenye simu yako....lakini iwe na mlio kama kuna mtu anakupigia! Make sure alarm inalia in fifth minute.

Ukishafika pale, jifanye uko so distracted na kila mara uwe unajisonya sonya! Kila mmoja hapo atakuwa anakuuliza kulikoni....lakini we jifanye unajisonyasonya tu!

Ukiona it's only a minute to go, anza maongezi haya lakini ukiwa bado ditractted:
"Unajua kaka, hii dunia ya leo kwa kweli imeisha! Yaani usiamini mtu kabisa!! Yaani uaminifu hakuna kabisa kwenye ndoa za watu! Yaani kaka, huwezi amini....hivi una haba.....!" Yaani make sure wakati unafikia hiyo sehemu, alarm iite! Na ikishafanya hivyo, inuka na jifanye unapokea simu!! Piga stori za uongo na kweli za kwenye simu kisha waage wenyeji na ahidi kwamba lazima utarudi kumalizia stori ambayo uliianzisha kuhusu namna gani watu wasivyo waaminifu!!

I am sure, ukifanya hivyo, huyo shemeji yako hapo utamwaacha katika wakati mgumu ile mbaya kwavile atahisi ulitaka kumsemea!! Na hakika, ni huyu shemeji yako ndie atakuwa wa kwanza kukupigia kutaka kufahamu ulitaka kusema nini! Hapo mwambie kwamba ulitaka kumwambia mshikaji kuhusu tabia zake! hapo atakuomba misamaha elfu moja kidogo na hatarudia tena!

Arrghh!! Nimepoteza muda wote kueleza yote haya wakati maelezo yako yanaonesha wazi unataka kuhalalishiwa hapa JF!

Wewe ndio mtu bhana huu ushauri bomba sana ila unapotaka kusaidia angalia jinsi bora zaidi ya kusaidia sio kuchanganya fisi na kondoo utafunaji utatokea tu. Nani alikwambia uruhusu njemba nzimanzima tena haijaongozana na mkewe ije ikae kwenye huduma ya mkeo? asipotamani yeye mke anaweza kutamani na tatizo ni wewe uliyemkaribisha jamaa kinyume na utamaduni wa kibinadamu. Si ungemuweka guest kama una ubavu na kama ubavu huna si ungemuacha atafute geto la mabachela wenzie. Kwa maoni yangu ningekwambia mgegede mpaka atapike ili kumkomesha jamaa ajutie ubitozi wa kuishi kiholela na kukaribisha fisi ndani ya zizi.
 
Kwanza jiulize kama ni mke wako angekuwa kama yy ungependa afanyw vp?

ha ha haaaaaa.... inauma eeeeeeeeeeeh?
 
Back
Top Bottom