mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Ikatokea umeanzisha thread yeyote hapa jamvini(hasa ya siasa au dini) alafu ukaona watu kama Mzee mwanakijiji,
Mkandara,Nguruvi3, Kiranga,Ogah,Chama wa G,mboto,Pasical,FJM, Mwita manyara,Mchambuzi,NazDaz na wale wote
wenye kufanana na hawa watu, ukakuta wameingia kwenye hiyo thread yako na wanaanza kutoa macoment basi ya
kupasa ujiandae kwa hoja na si viroja....yaani vinginevyo ni lazima ule chocho! chezea hao watu wewe. So binafsi
sishangai babu yangu Mohamedi saidi kuingia mitini! hata ingekuwa ni mimi lazima ningekula chocho....chezea hao watu wewe!
Mkandara,Nguruvi3, Kiranga,Ogah,Chama wa G,mboto,Pasical,FJM, Mwita manyara,Mchambuzi,NazDaz na wale wote
wenye kufanana na hawa watu, ukakuta wameingia kwenye hiyo thread yako na wanaanza kutoa macoment basi ya
kupasa ujiandae kwa hoja na si viroja....yaani vinginevyo ni lazima ule chocho! chezea hao watu wewe. So binafsi
sishangai babu yangu Mohamedi saidi kuingia mitini! hata ingekuwa ni mimi lazima ningekula chocho....chezea hao watu wewe!