Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

Geuka kuwa mzaramo for a while ili unusuru ndoa yako namanisha mchambe,mtukane,foka fanya kila aina ya maudhi kwa huyo mshezi ili mmeo akirudi akukute ukiwa tuli kama alivyokuacha maana haya madubwana yanatupunguzia uaminifu kwa wame zetu.Shenzy type

Hivi mkuu huwa una kiroba cha hasira mwilini kwako?? Posts zako nyingi huwa naona zimekaa kishari shari tu...just asking!!!
 
Yes, The Boss. This is great thinking!! Ni lazima tusome katikati ya mistari. Mleta mada hajatuambiwa hata kuuthiwa na message za jamaa. Anachoeleza ni jinsi anavoambiwa anampendwa na taarifa yake kwa jamaa kuwa ameolewa na aana watoto.

Hii mume kusafiri ni kutaka kutuonesha ana nafasi ya kufanya anachofikiria lakini anataka kujua ni lipi watu watamchagulia. Nina hakika hatawasikiliza wale wanaopinga mpango wake. Mama ya watoto anagegedwa hivi hiviiiii!!!
thats true
 
Just click a Report Abuse button...soon Invisibo & co will give him a life BAN...problem solved!!! :becky:...just kidding
 
Nimesoma vizuri maelezo yako, naona kama kwa nyakati zote mbili ulipiga namba moja.
Awamu ya kwanza akapokea mtu ambaye hukumtambua, na hata baada ya kumuuliza akajibu kwamba sio Dr....
Baada ya hilo umesema ukaicheck namba hiyo lakini ilikuwa ni ya Dr...
Awamu ya pili, ulipopiga tena mara hii Dr alipokea simu.

Sasa basi, kama ulipiga namba moja kwa nyakati tofauti, kwa nini usianze kwa kumuuliza huyo Dr, je ni nani aliyepokea simu katika muito wa awali??
Pili ukijaribu kurejelea "call logs" za siku na muda unaodhani ulikosea kupiga simu, je hiyo namba inayokupigia sasa ndio hiyo unayodhani uliipiga kimakosa??
 
Tukusaidie nini?????issue ndogo kama hiyo kuhandle inakushinda???????????
 
Habari zenu ndugu zangu.

Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya research. cm ilipokelewa na mtu ambae ckumjua nikashangaa nikamsalimia baada ya salamu nikamuuliza wewe ni Dr.....akasema hapana, nikamjibu wrong number nikakata! nikacheki namba niliyopiga ni kweli ya dr! nikacall tena akapokea dr akanambia anakuja nimsubiri.
Loh wandugu, baada ya kama nusu saa hv nikaanza kupata message za mapenzi kutoka kwa yule mtu niliekosea namba akinitaja jina langu na kusema ananipenda, mara mungu katukutanisha, mara tuonane..n.k Nimemjibu mm mke wa mtu pia nina watoto, jamaa hasikii ananipigia cm mfululizo. Kwa sasa mume wangu kasafiri, naombeni msaada wa mawazo nifanyaje?

Mtumie mumeo namba ya huyo jamaa ili ampigie lkn ukimeza basi mwisho ni kuvimba na kuihujumu ndoa yako
 
Nimesoma vizuri maelezo yako, naona kama kwa nyakati zote mbili ulipiga namba moja.
Awamu ya kwanza akapokea mtu ambaye hukumtambua, na hata baada ya kumuuliza akajibu kwamba sio Dr....
Baada ya hilo umesema ukaicheck namba hiyo lakini ilikuwa ni ya Dr...
Awamu ya pili, ulipopiga tena mara hii Dr alipokea simu.

Sasa basi, kama ulipiga namba moja kwa nyakati tofauti, kwa nini usianze kwa kumuuliza huyo Dr, je ni nani aliyepokea simu katika muito wa awali??
Pili ukijaribu kurejelea "call logs" za siku na muda unaodhani ulikosea kupiga simu, je hiyo namba inayokupigia sasa ndio hiyo unayodhani uliipiga kimakosa??

yaan mkuu ni hv; nilipocall namba ya dr. Ikapokelewa direct na asalaam alaykum wakti dr co mwislam! Nikashangaa na kumuulia,akasema co yy. Kuangalia ni jina la dr! Nikajua mambo ya mtandao. Kucall tena akapokea dr,sauti yake naijua. Kuangalia call long namba ya huyo mtu haipo ni ya dr tu. Sasa mtu huyo alipotuma sms nikaona namba mpya kabisaa hata ktk contacts zangu haipo yaan cmjui kabisa.mpaka jana ananicall na kutuma sms.
 
Mtumie mumeo namba ya huyo jamaa ili ampigie lkn ukimeza basi mwisho ni kuvimba na kuihujumu ndoa yako

nashukuru, ila kiukweli naogopa icjekuwa ni jini kama ambavyo nasomaga ktk magazeti.
 
Tukusaidie nini?????issue ndogo kama hiyo kuhandle inakushinda???????????[/
QUOTE]

kwenye wengi pana mengi. Nimepata ushauri hapa ambao hata ckuwaza kabsaaa.
 
Watu wengine bhana! mambo madogo kma haya mnayaleta jamii, ss kwenye research umefanya nn ww? Mi nahic unataka tukuambie umruhusu jamaa atumie chance amwahi shemeji kabla hajarudi au? Sio wote ni thinker; Mi nahisi una njia nyingi z kumkomesha asikufuate, tuliza akili kma ww n thinker w ukweli, hatokusumbua. Umtumie ujmbe ili akuelewe msimamo wko na sio umpe ishara kama nusu uko ndani nusu nje, atakuganda tu.
 
Watu wengine bhana! mambo madogo kma haya mnayaleta jamii, ss kwenye research umefanya nn ww? Mi nahic unataka tukuambie umruhusu jamaa atumie chance amwahi shemeji kabla hajarudi au? Sio wote ni thinker; Mi nahisi una njia nyingi z kumkomesha asikufuate, tuliza akili kma ww n thinker w ukweli, hatokusumbua. Umtumie ujmbe ili akuelewe msimamo wko na sio umpe ishara kama nusu uko ndani nusu nje, atakuganda tu.

asante kwa ushauri ndugu, nilichokosea ni kumtumia sms za ustaarabu nikijua ataelewa. Ila yakikufika ndio utajua ugumu wake, hasa ukikumbana na mtu kauzu.
 
sio dr. alipoanza kunicall na kutuma sms nikagundua namba ni tofauti na ya dr. Pia anaogea kama mtu wa unguja au pemba vile.
Hapo sikushauri tena maana hawa jamaa zetu wanaanzia ga dau la 50,000/= kuendelea hadi 1m kutokana na umbile lako
Km Research ni ya Degree usiwe na hofu nayo hebu muulize Dr huyo jamaa ni Mpemba kweli? kabla ya kumpiga kibuti
 
Yani watu wengine bwana haya mkubali inaonekana kumwambia humtaki huwezi nalo hili la kuliza humu we ni mtu mzima kweli ushindwe kumkataa unazingua tu sasa unataka ushauriwe nini kwani yeye anakutongoza kupitia jf, si anakuandikia kwa simu yako iweje ulize humu peleka kule unatuchosha uliza mambo ya msingi haya hayatuhusu yanakuhusu wewe na anayekutongoza upo mwanadada j,pili,njema.
 
Mm nakushauri mridhisha mpe anachokitaka hata mara moja !lakn awe na adabu mwambie mie nmeolewa si unajua tna mama yngu kubadilisha mboga sio mbaya lakini kumuka tu kuvaa kondom that's all bsss.................

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yani watu wengine bwana haya mkubali inaonekana kumwambia humtaki huwezi nalo hili la kuliza humu we ni mtu mzima kweli ushindwe kumkataa unazingua tu sasa unataka ushauriwe nini kwani yeye anakutongoza kupitia jf, si anakuandikia kwa simu yako iweje ulize humu peleka kule unatuchosha uliza mambo ya msingi haya hayatuhusu yanakuhusu wewe na anayekutongoza upo mwanadada j,pili,njema.

Kama umechoka ni ww, hujalazimishwa kutoa neno mkuu. Sepa zako tuuuu.
 
Habari zenu ndugu zangu.

Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya research. cm ilipokelewa na mtu ambae ckumjua nikashangaa nikamsalimia baada ya salamu nikamuuliza wewe ni Dr.....akasema hapana, nikamjibu wrong number nikakata! nikacheki namba niliyopiga ni kweli ya dr! nikacall tena akapokea dr akanambia anakuja nimsubiri.
Loh wandugu, baada ya kama nusu saa hv nikaanza kupata message za mapenzi kutoka kwa yule mtu niliekosea namba akinitaja jina langu na kusema ananipenda, mara mungu katukutanisha, mara tuonane..n.k Nimemjibu mm mke wa mtu pia nina watoto, jamaa hasikii ananipigia cm mfululizo. Kwa sasa mume wangu kasafiri, naombeni msaada wa mawazo nifanyaje?

Hayatuhusu. This is your private business. Kama huna cha kuandika nyamaza kimya. soma michango ya wenzako.

 
umesema kwa sasa mumeo kasafiri?
meaning? kuna vacuum sio?

Pengine ulilegezxa na sauti kwenye simu makusudi..

Haha haaaaa .. Kuna vacuum!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom