Tafuta mwanamke wa imani yako ndipo hapo baadaye mtakuwa na maisha ya upendo (angalau kidogo) hata baada ya kuwa pamoja kama mume na mke kwa muda mrefu na kupata watoto. La sivyo penzi lenu na huyo binti ni la muda tu.Usifikirie kuwa mkioana mtapendana kama ilivyo sasa hivi, penzi (upendo)...
Tumia akili kidogo Rich Dad, kama siyo walimu wewe ungekuwa hapo ulipo? Kwa taarifa yako walimu wana akili nyingi kuliko za kwako ndiyo maana wakakufikisha hapo ulipo!
Serikali ya majimbo ni nzuri kwani kila jimbo litakuwa na maendeleo kwa kutumia rasilimali llilizonazo. Vile vile viongozi wa majimbo watawajibika kwa wananchi kwani watakuwa wanachaguliwa na wananchi, hivyo kuwa na maendeleo ya nchi kwa ujumla.
Wana JF, nina msichana ambaye huwa anapata maumivu makali sana akiwa kwenye siku zake (akiwa kwenye hedhi). Huwa anatapika sana na maumivu ya tumbo huwa ni makali sana. Nimekuwa nikimpeleka hospitali na huwa wanamchoma sindano ya kutuliza maumivu hayo na hupewa vidonge. Lakini kila mwezi, akiwa...
Ninakubaliana na mawazo yako. Ninakushauri utafute website ya ccm halafu upost hayo mawazo kule. Yanaweza yakawafikia wakubwa wa chama haraka na labda wanaweza kuyafanyia kazi.
Wazo la kumchukua mtu wa pili aliyefuatia kwenye uchaguzi bila kujali chama linaonekana kuwa ni rahisi kwa kuliangalia kinadharia. Lakini ukija kwenye utekelezaji kuna matatizo makubwa sana: kwanza tujue kwamba mtu wa pili lazima atakuwa wa chama tofauti na mbunge aliyekuwa akitumikia jimbo...
Wanajamiiforums, baada ya matokeo ya uchaguzi wa jimbo la Arumeru Mashariki kutangazwa na mgombea wa CDM Joshua Nasari kuibuka mshindi, mimi nina mawazo yafuatayo:
Wananchi sasa hivi wameanza kujua haki zao na kwamba wameanza kukataa kudanganywa na wanasiasa;
Wanasiasa wanatakiwa kutimiza ahadi...
Halo wana JamiiForums nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi humu jamvini kwa muda mrefu na kufurahishwa mijadala inavyokwenda japo sikuwa memba. Kwa sasa imeamua kujiunga na jamvi hili ili na mimi niweze kutoa mchango wangu. Ninaomba wanajamvi mnipokee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.