MISILEE MGOGO
Member
- Mar 30, 2012
- 58
- 17
huyu LUSINDE AMETUDHALILISHA SANA WAGOGO, hatuko hivi sisi ni wapole, wenye busara na hekima ila kwa alichokifanya Arumeru jimboni kitamtesa sana. Najiandaa kugombea kama ccm watampitisha kugombea CDM MTERA 2015 PEUPEEEEEEEEE