Ufafanuzi wa mtoa mada naona uko kinyume ha uhalisia. Sasa hivi malipo ya mkupuo uamepungua kuliko kabla ya kikokotoo kipya halafu yeye anadai yameongezeka. Ibakie ileile 50/50
Shida ya huo mkopo huwa wanagawana kwanza hapo Halmashauri HQ na mabaki ndio wanapata wachache watakaobahatika. Kuna jamaa namfahamu aliomba milioni 12 lakini akaingiziwa milioni 5 tu, unaweza kutofanikisha malengo yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.