Recent content by KASENYENDA JR

  1. K

    Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

    Upo sahihi,alikuja na kitu kinaitwa kota system...ili kuketa usawa wa elimu. Tundu wakati mwingine ni mbinafsi sana.
  2. K

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    Sina pingamizi juu ya hilo mkuu TUNDU LISSU NI MTU MAKINI SANA......But fanya mpango wa kulekebisha mahusiano ya Mungu na Chadema akiwemo kamanda Lissu
  3. K

    Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

    Aliwambia walio iba EPA warudishe pesa, na ni Rais pekee aliye ongeza deni la Taifa kuwa kubwa zaidi
  4. K

    Pres. Mugabe: It is time Africa be grateful to Julius Nyerere

    Kweli nabii hasifiwi kwao.....huku kila kukicha wanamtafutia visingizio lakini huko nje kila mala wanamsifia sana........duh hiii nchi aibu hadi basiiiii
  5. K

    Mwl. Kambarage Nyerere alitayarishwa!

    Acha uongo wewe kwanza hoja zako ni hafifu kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la 4 atajua tu kuwa wewe ni mwongo.swali.. 1.Ulitaka nyerere asome wapi kwa kipindi hicho? kwani kulikuwa na shule zingine ambazo zilikuwa hazina mahusiano na wazungu? 2. Unaposema Nyerere hakuleta UHURU ni uongo kwa...
  6. K

    Chama cha Kilaghai Tanzania...

    Hongera kwa kusaka tonge la familia yako,........maana bila hivyo inaweza kufa njaa
  7. K

    Rais Kikwete, mbona umeamua kuangamiza Taifa? - LEMA

    umenena ukweli japo wapambe kama ulivyosema watakuona ni kijana hatari,lakini bora uonekane hatari kwa ukweli kuliko kuonekana hatari kwa uongo. Hongera sana comredi
  8. K

    Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

    Mkuu mbowe mbona anaweza sana,Binafsi sijaona anaye mzidi MBOWE iwe ndani ya chama hata nje ya chama.
  9. K

    Linganisha Picha Hizi: JK Nyerere vs. JM Kikwete

    Wakati Nyerere alikuwa anafanya ukweli na kuwatia moyo wananchi Kikwete anafanya kuigiza na kuwahadaa wananchi.
  10. K

    Kujibizana na Mh. Rais Jukwaani ni ukomavu wa akisiasa?

    Rais asiyeweza kumudu hata misukosuko ndani ya chama chake na kuishia kuzungumza kwa mafumbo atayaweza wapi mambo ya katiba? Yeye mwenyewe anakiri kuwa hawaendi kushindana wakati huo huo anasema msimamo wa CCM ni serkali 2 nini tafsiri yake?
  11. K

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr.Wilbrod Slaa
  12. K

    Mbeya Mjini: Kiboko ya Sugu 2015 ni Mbuzax

    wadanganye ambao hawako mbeya. kwani unayo yasema hapo hayana ukweli kama madai ya kujengwa kwa barabara mbovu hilo ni tatizo tanzania nzima, hata hapa dar kunajengwa barabara mbovu. Na madai ya kuwa mbuzax ni mchapa kazi wapi kawahi kuwatumikia wanambeya? umeamua tu kumpaka matope sugu na wivu...
  13. K

    Mbunge Joseph Mbilinyi Sugu mara moja moja acha "UTOTO"

    hauna jipya kwani kuandika hivyo hakuna tatizo kwa wapiga kura wake kama mimi kilio cha watanzania sio uandishi bora bali ni usimamizi mzuri wa utajiri wetu hivyo badala ya kumwambia mbilinyi aeche utoto wambie mafisadi waache kuiba acha ukilaza ww
  14. K

    mbona serikali imewatupa sana Archeologist Au wafute hii kozi kama vipi>>>>>>

    nimiaka takribani mitatu hawajaajiri watu wa archaeology. course inatolewa kwenye chuo kikuu cha dar es salaam. pia kuna course nyingine zinazolandana na Archaeology ambao soko lao la Ajira ni moja kwa mfano Heritage management udsm, culture and heritage pia udsm tourism and cultural heritage...
  15. K

    Nyerere Hakuwa na mapungufu, alikuwa Kiongozi Mbovu!

    Baada ya kusoma ulichokiandika mapema nikagundua kuwa hauijui historia ya nchi yako na hili ni tatizo kwa watanzania wengi,lakini si kosa lako bali ni kosa la serkali yako kwani haijandika historia sahihi kuhusu nchi yako. Lakini unaweza kuwauliza wazazi wako kuwa wakati wanakulea wewe ni...
Back
Top Bottom