Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

I fully agree with you best in politics and legal... Very weak in discuss economical related issues which to my knowledge it is our main concern as a country!!!! I only see Zitto in economy the rest are politic ... Which I hate... B'se it has failed to sslvage our country from poverty!

ungeandika kwa kiswahili angalau ungeeleweka vzr. unayo hoja lakini bado haijaeleweka. unamaamisha kwamba kila mwanasiasa sharti awe mchumi? kama alivyo mchumi kikwete? fafanua kwa kiswahili tafadhali.
 
Kumsaliti Mungu unamaanisha nini?? Kuna namna nyingi za kumtumikia Mungu, kumtumikia Mungu sio lazima ukae kanisani na kuongoza ibada ndio ionekane kuwa unamtumikia Mungu, hata kuongoza harakati za kukomboa watanzania walioishi miaka hamsini ya uhuru msukuleni ni kumtumikia Mungu pia!!

yeah! correct.
 
Usiamu kwa hoja dhaifu ya Amen. Kamati ya kanuni za Bunge la Katiba lina watu wengi akiwemo Mwenyekiti wao Prof. Mahalu. Kumpa sifa zote mtu mmoja peke yake ni uchoyo wa sifa au uchongo wa jicho. Hata hivyo linapokuja swala la Kamati ya kanuni za bunge maalum la katiba achaguliwa mjumbe mmojawapo kutoa ufafanuzi.
Shida moja ya binadamu akisifiwa sana hujiona bora kuliko hata Chama Chenyewe. Wahenge waliisha tuasa kwa seminyingi tu . Mfano 'Mgema akisifiwa hulitia tembo maji' ' Sifa ni mama wa wajinga'. Sifa hizo ndizozilizomponza Zito Zuberi Kabwe. Lakini pia palipo na wasomi wachache mwenye certificate anaweza kuonekena kama mtu aliyebobea. Katika ya vipofu mwenye chongo aweza kuwa lulu ati.
Wote tuseme amen.. Usiposema ame juu ya hii hoja we ni lumumba project
 
Hakuna kifungu cha kipuuzi katiba rasimu ya kanuni!,vyote vina maana nzuri sana japo vinabadilika kulingana na unavyoweza kuvijengea hoja.
Hata huyo tindu sio zote anazopinga anakuwa na hoja za msingi,kuna wakati anapinga hoja ambazo ziko sawa kabisa basi tu kwa sababu yeye anti....makubaliano na ukizingatia anapenda sana kuongea sana. Hebu kuwa na fikira pevu acha ushabiki wa vyama funguka Mtanzania.
 
Sina pingamizi juu ya hilo mkuu TUNDU LISSU NI MTU MAKINI SANA......But fanya mpango wa kulekebisha mahusiano ya Mungu na Chadema akiwemo kamanda Lissu
 
Hakuna kifungu cha kipuuzi hata kimoja katika rasimu ya kanuni!,kila kifungu kina maana na kizuri japo kinaweza kuboreshwa au kubadilishwa kulingana na hoja za mjumbe au wajumbe.
Vilevile sio hoja zote ziletwazo na mjumbe za marekebisho zinaweza kuwa na maana hasa ziletwazo na watu mnaowaita ni akina anti...pass kama Tindu....ambao hawachukui muda mwingi kufikiri na kuchambua hoja(positively n negatively) wao ni waropokaji na wapo kiitikadi za vyama vyao na sio utaifa.Kwa mtu ambaye si mchambuzi anaweza kuwaona kama ndo wa maana sana ndani ya bunge, kumbe ndo wahujumu wa muda na pesa na ndo vikwazo katika kufanikisha mchakato huu wa katiba.
Zipo hoja za msingi anazozichangia Tindu na pia zipo zisizo na maana hasa zile za kupinga kwa ushabiki wa chama chake na huku akitafuta support kwa wanachana wake.......binafsi kazi anayofanya nampa 46% ambayo ni sawa na daraja C namaanisha ni ya kawaida sana kama wajumbe wengine na wapo wengi sana wanaofanya vizuri sana.
Funguka Mtanzania acha ushabiki wa Vyama sikiliza,chambumbua,tele hoja tujadili yenye masilahi na nchi.
 
Huwa simkubali Lissu kwenye bunge la jamhuri.

Ila this time Tundu Lissu ameonesha ukomavu wa hali ya juu kwa mara chache nilizomuona anaongea.

Akiwa kama hivi siku zote anaweza kufanya vizuri zaidi bungeni.
 
Usiamu kwa hoja dhaifu ya Amen. Kamati ya kanuni za Bunge la Katiba lina watu wengi akiwemo Mwenyekiti wao Prof. Mahalu. Kumpa sifa zote mtu mmoja peke yake ni uchoyo wa sifa au uchongo wa jicho. Hata hivyo linapokuja swala la Kamati ya kanuni za bunge maalum la katiba achaguliwa mjumbe mmojawapo kutoa ufafanuzi.
Shida moja ya binadamu akisifiwa sana hujiona bora kuliko hata Chama Chenyewe. Wahenge waliisha tuasa kwa seminyingi tu . Mfano 'Mgema akisifiwa hulitia tembo maji' ' Sifa ni mama wa wajinga'. Sifa hizo ndizozilizomponza Zito Zuberi Kabwe. Lakini pia palipo na wasomi wachache mwenye certificate anaweza kuonekena kama mtu aliyebobea. Katika ya vipofu mwenye chongo aweza kuwa lulu ati.

kwa hiyo bunge la katiba halina wasomi??? kwa hiyo Lissu ana certificate katikati ya vilaza zaidi ya 300 wa magambani + wateule 201 wa mr dhaifu?????
 
Hakuna kifungu cha kipuuzi hata kimoja katika rasimu ya kanuni!,kila kifungu kina maana na kizuri japo kinaweza kuboreshwa au kubadilishwa kulingana na hoja za mjumbe au wajumbe.
Vilevile sio hoja zote ziletwazo na mjumbe za marekebisho zinaweza kuwa na maana hasa ziletwazo na watu mnaowaita ni akina anti...pass kama Tindu....ambao hawachukui muda mwingi kufikiri na kuchambua hoja(positively n negatively) wao ni waropokaji na wapo kiitikadi za vyama vyao na sio utaifa.Kwa mtu ambaye si mchambuzi anaweza kuwaona kama ndo wa maana sana ndani ya bunge, kumbe ndo wahujumu wa muda na pesa na ndo vikwazo katika kufanikisha mchakato huu wa katiba.
Zipo hoja za msingi anazozichangia Tindu na pia zipo zisizo na maana hasa zile za kupinga kwa ushabiki wa chama chake na huku akitafuta support kwa wanachana wake.......binafsi kazi anayofanya nampa 46% ambayo ni sawa na daraja C namaanisha ni ya kawaida sana kama wajumbe wengine na wapo wengi sana wanaofanya vizuri sana.
Funguka Mtanzania acha ushabiki wa Vyama sikiliza,chambumbua,tele hoja tujadili yenye masilahi na nchi.

wengine kina nani tuwapime!!! wasomi wa ccm wengi wao ni vilaza tu wasio na point zaidi ya ushabiki maandazi!!! unafiki na ushabiki wao wa kimagamba unawafanya waonekane wa ovyo hivyo kudharilisha taaluma zao
 
Mtu yeyote anayemchukia T. Lisu basi anachuki binafsi au atakuwa amelemewa na mahaba ya chama chake.

Kwa anaesema kuwa T. Lisu sio mtetezi wa wanyonge wa Tanzania naomba anijibu haya maswali machache.

-Ni hoja gani Mheshimiwa Lissu alishawai ileta/pendekeza inayomdidimiza au kumnyonya Mtanzania wa chini?

-Ni lini na wapi na nihoja ipi iliyoletwa kwaajili ya kumtetea mlalahoi Lissu ameshawahi kuipinga.

-Ni nani anabisha kuwa T. Lissu ameshaingia migogoro zaidi ya 20 na serikali kwa sababu tu yakuwatetea wanyonge?

-Ni nani anayebisha na kusema kuwa T.Lissu ajawahi kulala selo kisa kutetea haki za walala hoi?
 
Tundu kweli anawelewa mpana.Ila tukija kwenye uwajibikaji utamchukia lissu. Nipo singida tena jimboni mwake. Wakati alipojinadi tulimwamini kwa uwezo huohuo wa kujenga hoja.cha ajabu zote zilikua porojo hakuna alichotekeleza mpaka sasa. Ameshindwa hata kusimamia malipo ya kampuni ya shata kufidia maeneo ya wananchi. Miradi ya maji mpaka sasa imasimama hasa ktk vijiji vya matare mwau na sambaru.sisi tunaipenda chadema ila Tundu kaka yetu anatuangusha.
 
Chama cha Mungu viongozi wao kazi yao kupora wake za watu.

We ni miongoni mwa watu ambao hata ukiona mtoto wako anakula bado utasema hali bali anapika ndo nyie wakina bI KIREMBWE Unataka usiku iwe mchana jambo ambalo haliwezekani.
 
Huwa simkubali Lissu kwenye bunge la jamhuri.

Ila this time Tundu Lissu ameonesha ukomavu wa hali ya juu kwa mara chache nilizomuona anaongea.

Akiwa kama hivi siku zote anaweza kufanya vizuri zaidi bungeni.

Shida ya kule kwenye bunge la Jamhuri Makinda na ndugu yake Ndugai huwa wanambania na kumkwamisha kwamisha.. Wanajifanya kutumia kanuni ili asiwe na nafasi ya kuongea hata kama ana haki hiyo kimsingi huku wakimuita majina mbali mbali kama vile mtukutu n.k.
 
Tundu Lissu ni koki ya maji,Zitto ameichezea ameloa mpaka leo hajakauka
 
Kweli bila unafiki hata mimi namkubali Tundu Lissu,jamaa anajitahidi sana katika kujenga hoja. Pia anaifahamu sharia vizuri, anamvuto anapoongea wa kumfanya msikilizaji au mtazamaji aendelee kumtazama. MUNGU Amurehemu huyu jamaa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kinachowaharibu ni mfumo wa ccm hauruhusu watu kutumia upeo wao zaidi ya ule wa chama.

kama unavyoona dodoma ccm inavyolamisha wanachama wake, bila kujali mawazo huru ya mtu wanataka wote waseme ndio.

Sasa hapo Mwandosya upeo wake atautumia wapi.?

Tujitahidi ccm ing'olewe madarakani ili tufaidi elimu za akina Mwandosya.

..nakubaliana na wewe by 50%.

..kama kuna tatizo huko CCM si anaweza kutoka?

..huyu bwana na akili zote anazosifiwa kuwa nazo umemsikia akikosoa au kukemea uovu wowote ule unaoendelea ndani ya CCM na serikali yake?

..binafsi sina matumaini na watu ambao kwa maoni yangu, wameamua kwa makusudi kutia akili zao maji na kuunga mkono ufisadi wa CCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom