Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

Binafsi namkubali sana Kamanda Mbowe kwa hotuba zake! Nilianza kufuatilia umakini wa hotuba zake wakati wa harambee ya chama katika uchaguzi mdogo Arumeru.

Nimekuja kuthibitisha juzj pale Bwiru Mwz aliposema atatoa hotuba iliyokita katlka historia ya chama. Watu wengi wwaliguswa na wengine kutoa machozi. Jamaa anajua kuteka jukwaa kwa maneno ya kugusa na wakati mwingine ya kuchangamsha hasa akitumia lugha za vijana!

Mweshimiwa Mbowe ni Charismatic leader fast of all second he is full of wisdom kiasi kwamba hata Wakati ambao anahutubia swala lenye kuhuzunisha,kuumiza,kuleta hasira still u will discover that the man hawezi tumia lugha ya kuuzi,kukera wala inayoweza kuleta vurugu,

Nikirejea hotuba zake kipindi cha maazishi ya wa Tanzania wenzetu katika vurugu Kati ya police na raia iliyojulikana kama (Sinto fahamu) iliyojitokeza mkoani Arusha mapema mwaka 2012,Mh. Mbowe aliweza kutoa hotuba yenye faraja na iliyowataka we TAnzania kuwa watulivu,Huku akitoa rai kwa rais wa Nchi Mh. Dkt Jakaya kikwete juu ya kutolifumbia macho swala la umwagaji damu ya wa TAnzania wenzetu.........BY SAYING SO JAMAA IS AMONG THE BEST SPEAKERS IN TANZANIA WITH SPECTACULAR AND DINSTINCT SPEECH
 
Mbowe, SAID, Dr.SLAA, Lema, Mnyika, Lissu Hapana Chezea hawa watu Kwani Ukiwapa Dk 5 tu lazma usalimu Amri na Kujiunga na Jeshi la Ukombozi.
 
Inawezekana hasa kwa mambo ya siasa.

Unajuaje?
Huenda Mwanachama hasa wa CCM anaweza akaamua kuhudhuria Mkutano wa CHADEMA akiwa amedhamiria KUVUA GAMBA NA KUVAA GWANDA siku hio hio ya mkutano.
 
Sio tu Mbowe ana uwezo wa kutoa Hotuba Kali,nzuri na zenye ushawishi wa kumbadili mtu,Ila Mbowe ni Kiongozi anayejua kupangilia mambo na kuyasimamia hadi kuleta UFANISI.
 
Mwl Nyerere alitufundisha kwamba kazi kubwa ya kiongozi ni kufafanua mambo mpaka yaeleweke kwa watu husika.
 
Kati ya mwaka 2008 hadi 2010 niliwahi kumsikia Mh.Mbowe akihutubia Uwanja wa Mkendo Manispaa ya Musoma.

Alizungumzia mambo mengi ila alipoanza kulizungumzia suala Ufisadi wa EPA ndani ya BOT.

Nakumbuka siku ile watu walikuwa wengi sana walihudhuria wakiwemo wanachama na wapambe wa CHADEMA,CCM,CUF na wengi wasiokuwa wanachama wa chama chochote kile.

Kijana aliyeonekana kavalia Tisheti ya njano ikiwa inaashiria yeye ni mwana ccm aliyekunywa mpaka maji ya Bendera kama kiapo cha kutokukiuka masharti ya chama hicho.(kama wasemavyo watu)


Kijana huyo alionekana kumfuatilia Mbowe kwa makini wakati akiongea,Kijana aliyeaminiwa na ccm kuwa kamwe haitatokea akikane na kukiacha CHAMA CHA MAPINDUZI,ailiposikia fedha zile zikipangwa moja moja kutokea TZ zitafika Cairo Misri alipiga Yowe la nguvu UUWIIIII!!! HUKU AKICHANA ILE TISHITI ALIYOKUWA AMEIVAA MBELE YA HADHARA YOTE AKABAKIA KIFUA WAZI.

Kwa tukio hilo kutokea yamkini ilituthibitishia kwamba Hotuba ya Mbowe ilibeba ujumbe mzito mpaka kijana akaona haina maana ya kuendelea kuvaa Tisheti ya CCM huku akizidi kuwa masikini na Wakati huo huo Wengine wakiyala mema ya Nchi kwa kuifisidi Nchi kaa Mchwa anayatafuna Nyasi.

Wewe unaonaje? Mh. Mbowe aweza kuwa kiongozi wa Kisiasa mwenye Hotuba kali kiasi cha kuwabadili wengi na kuacha vyama vyao na kujiunga na CHADEMA?

Nawasilisha kwenu Wanajamii.

Yeah! Anatoa hutuba kali zinazoweza kumbadili mtu, lakini ni zilizosheheni uongo mtupu!
 
Yeah! Anatoa hutuba kali zinazoweza kumbadili mtu, lakini ni zilizosheheni uongo mtupu!



Uongo upi??? Kusema fedha zilizokwapuliwa EPA ili CCM izitumie kwenye kampeni 2005 ndio uongo huo?

Na fedha hizo ndio zilizomwingiza Kikwete madarakani na mpaka leo Uchumi wa Nchi uko kwenye hali mbaya na hayo ni Matumizi mabaya ya fedha UMMA.
 
Mkuu nnaomba kuwa tofauti kidogo sababu mimi nnaamini katika falsafa hii "UONGOZI IMARA SIO UTAALAMU WA KUTOA HOTUBA AMA KUPENDWA ,BALI UONGOZI NI KUTOA MATOKEO YALIYOTARAJIWA".kama wapo viongozi waliosimama ktk hili nitawakubali.


Mbowe anaweza yote Kuongea na ni Mtendaji mzuri wa kazi.
 
Ohoooo! Lusinde huyu huyu wa CCM ama mwingine,Hana lolote zaidi ya kuropoka na kufyatua matusi.
 
Lusinde "kibajaji" ana ushawishi sana ktk hotuba zake. mf: fuatilia hotuba zake za Arumeru wkt wa kampeni
 
Mbooowe hana uwezo wa kuwabadili wenye akili. Vilaza kama wewe atawabadili, angekua na uwezo huo asingekimbia kugombea uraisi, mbowe ni mbulula kama mbulula wengine tu.
 
Kwangu Mimi wako wengi lakini hakuna hata mmoja wa kutoka CCM samahanini sana wanaCCM.. Mh. Mbowe, Dr. Slaa, Zitto Kabwe (Nje ya Usaliti wake), JJ Mnyika, Halima Mdee, Pro. Lipumba, Field Marshal Godbless Lema, Kamanda alphonce Mawazo (Hapa ni kwa msisitizo)... Kwa Mbaali ndani ya CCM ni Harison Mwakyembe lakini sasa huwa anaongea mambo ya kiCCM hayana mvuto kwa watu.
 
Mbooowe hana uwezo wa kuwabadili wenye akili. Vilaza kama wewe atawabadili, angekua na uwezo huo asingekimbia kugombea uraisi, mbowe ni mbulula kama mbulula wengine tu.
Jenga hoja juu ya hoja iliyotolewa kumshambulia m2 tayari uko nnje ya hoja... kwel wew unaishughulisha akili yako kufanya tafakuri au ndo masabuli type! GROW UP!
 
Back
Top Bottom