Mwl. Kambarage Nyerere alitayarishwa!

Mwl. Kambarage Nyerere alitayarishwa!

hujui kitu, umekurupuka tu. siwezi kukueleza mapungufu yako maana utaanza ubishi usio na maana, nenda kasome na ukajipange vizuri ili upate maoni mazuri ya wafuasi wa socrates.
 
Matokeo ya NECTA form 4 2013 yameshatoka umepata div ngapi? Unachandika hata huwezi kukitetea! hivi kwa akili yako Waingereza wangemwachia nchi kiulaaini mtu ambaye hakuwa dini yao ya Anglikana? Hujui kuwa Pesa ya nauli au tiketi ya kwenda New York Nyerere alichangiwa na watu haswa kanisa.............,
Kwahiyo unataka kutuambia kuwa kuna mgombea urais ambaye ameshaandaliwa na alisoma hizo shule na chuo ulichokitaja?


Katika muendelezo wangu wa kutafuta kiini cha matatizo yetu hapa Nyumbani, nimekuja kugundua kwamba Raisi wa kwanza wa Tanzania au sijui Tanganyika Mlm Kambarage Nyerere alitayarishwa na Wazungu (Waingereza) tangu enzi akiwa kijana ili aje kupewa na kukabidhiwa Nchi!

Sasa ni kwa nini nimefikia hapo, ni kwamba nimefwatilia nyendo za Mlm Nyerere nikaona kwamba alisoma Tabora Boys, Shule ambayo ilijengwa na Waingereza kwa lengo la kukuza kizazi cha Waafrika watakaoachiwa nchi pindi muda wao wa kuondoka utakapofika, yaani Watawala wetu, Tabora Boys ilianzishwa kwa kufwata Mfano wa Eton college ya huko Uingereza ambayo mpaka leo Viongozi wa nchi hiyo wengi wao wanatokea hapo!

Baada ya kutoka hapo Bw.Nyerere alipelekwa moja kwa moja Scotland kusoma kwa udhamini wa Waingereza na alipokuwa huko ndipo alipokumbana ya mambo ya Ujamaa, ambayo baadae alikuja kuyapandikiza kwenye Nchi yetu!

Baada ya kutoka huko na baada ya Waingereza kuona sasa alishaiva ndipo wakamrudisha na kumkabidhi Nchi, kinyume na propaganda tunazolishwa kwamba Bw.Nyerere alileta Uhuru, ukweli ni kwamba alitayarishwa ali aje apewe kwa malengo ya kulinda na kutetea maslahi ya Wazungu (Waingereza) kazi ambayo aliifanya vizuri sana na mpaka leo watawaala wetu wanaiendeleza...
 
Matokeo ya NECTA form 4 2013 yameshatoka umepata div ngapi? Unachandika hata huwezi kukitetea! hivi kwa akili yako Waingereza wangemwachia nchi kiulaaini mtu ambaye hakuwa dini yao ya Anglikana? Hujui kuwa Pesa ya nauli au tiketi ya kwenda New York Nyerere alichangiwa na watu haswa kanisa.............,
Kwahiyo unataka kutuambia kuwa kuna mgombea urais ambaye ameshaandaliwa na alisoma hizo shule na chuo ulichokitaja?

Wewe ndio hujui unachokiandika aliyekwambia kwa Wazungu Dini inamata ni nani? Kwa Wazungu au Mabepari cha muhimu FAIDA tu, Mbona Iraq, Palestina, Sudani, Misri waliwakabidhi Waislamu? Mbona India waliwakabidhi Wahindu? Itakuwa Mlm Nyerere Mkatoliki?

Halafu unaongelea mambo ya kwenda New York, kwenda New York kulifwata baadaye sana baaada ya TANU ilikuwa imeshaanzishwa na hao hao Waingereza (TANU Ilianzishwa na Wazungu!) baada ya Mlm Nyerere kurudi kutoka Scotland alikopelekwa kusoma na Wazungu!

Mimi nimekwambia kuhusu Historia ya Mlm Nyerere, mambo ya Tabora Boys yameshakwisha kwa maana lengo lake lilishatimia kwa Wazungu, na kilichobaki sasa ni muendelezo tu wa yale Mlm Nyerere aliyoyaanzisha ya kulinda na kuteteta maslahi ya Wazungu, na ndio maana mpaka Sheria yote na lugha ya kimahakama ni Kiingereza, Kwa nini?
kwa nini Mlm Nyerere hakubadilisha hilo kwa miaka 24 aliyokuwa Raisi?
na mpaka leo akina Bw.Kikwete wanaendelea tu kuuza nchi kwa Wazungu, juzi Waingereza wameongea kidogo kuhusu meno ya Tembo nchi nzima kuanzia Raisi mpaka makatibu wa Wizara wakafunga Safari kwenda kujieleza huko, Uingereza kwa nini?

Kama ile habari ingeandikwa na Gazeti la Ujapani wangefunga Safari kwenda kujieleza?
Au wangetumia nguvu kuhamisha ndugu zetu na kuwaua kisa kulinda Tembo?
 
Hujui unachokiongea nchi za kiislam zilikuwa ngumu kutawalika, hivyo wazungu walifanya mfumo wa indirect rule.

Wewe ndio hujui unachokiandika aliyekwambia kwa Wazungu Dini inamata ni nani? Kwa Wazungu au Mabepari cha muhimu FAIDA tu, Mbona Iraq, Palestina, Sudani, Misri waliwakabidhi Waislamu? Mbona India waliwakabidhi Wahindu? Itakuwa Mlm Nyerere Mkatoliki?

Halafu unaongelea mambo ya kwenda New York, kwenda New York kulifwata baadaye sana baaada ya TANU ilikuwa imeshaanzishwa na hao hao Waingereza (TANU Ilianzishwa na Wazungu!) baada ya Mlm Nyerere kurudi kutoka Scotland alikopelekwa kusoma na Wazungu!

Mimi nimekwambia kuhusu Historia ya Mlm Nyerere, mambo ya Tabora Boys yameshakwisha kwa maana lengo lake lilishatimia kwa Wazungu, na kilichobaki sasa ni muendelezo tu wa yale Mlm Nyerere aliyoyaanzisha ya kulinda na kuteteta maslahi ya Wazungu, na ndio maana mpaka Sheria yote na lugha ya kimahakama ni Kiingereza, Kwa nini?
kwa nini Mlm Nyerere hakubadilisha hilo kwa miaka 24 aliyokuwa Raisi?
na mpaka leo akina Bw.Kikwete wanaendelea tu kuuza nchi kwa Wazungu, juzi Waingereza wameongea kidogo kuhusu meno ya Tembo nchi nzima kuanzia Raisi mpaka makatibu wa Wizara wakafunga Safari kwenda kujieleza huko, Uingereza kwa nini?

Kama ile habari ingeandikwa na Gazeti la Ujapani wangefunga Safari kwenda kujieleza?
Au wangetumia nguvu kuhamisha ndugu zetu na kuwaua kisa kulinda Tembo?
 
Hujui unachokiongea nchi za kiislam zilikuwa ngumu kutawalika, hivyo wazungu walifanya mfumo wa indirect rule.

Wewe ndio hujui unachokiandika, India pia walifanya hiyo unayoiita sijui indirect rule? Mbona akina Gandhi walikuwa waHindu na sio Waanglikana? HongKong ambapo ni juzi tu ndio wamewarudishia Wachina mbona ni siku zote wamekuwa ni Budhist? Singapore Je, nako ilikuwa ni hiyo indirect rule? mbona waliwaachia Wachina ambao SIO Waanglikana bali ni Wabudisti?

Wazungu hawahusudu Dini kihivyo kama unavyodhani wenzako cha muhimu ni Maslahi tu, kama wewe utalinda maslahi yao watakupa Nchi hata kama ukiwa ni Mmasai!

 
Mkuu,
Kwa kadiri ya maelezo yako inawezekana ukamalizia riwaya yako kwa kusema baada ya kumaliza kazi yao, waingereza wakamuua Nyerere pale St. Thomas eh?
 
Mkuu,
Kwa kadiri ya maelezo yako inawezekana ukamalizia riwaya yako kwa kusema baada ya kumaliza kazi yao, waingereza wakamuua Nyerere pale St. Thomas eh?

Hilo nalo la kwenda kufia Uingereza linazidi tu kusiliba ukweli kwamba Mlm Nyerere alitayarishwa na Waingereza na ndio maana hata kufia alichagua kwenda kufia huko!

Wewe jiulize, miaka yote ametutawala amekuwa akituimbisha kwamba Ubepari ni unyama sasa iweje achague kwenda kufia tena kwa Wanyama kwenye Makao Makuu ya Ubepari?
 
Acha uongo wewe kwanza hoja zako ni hafifu kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la 4 atajua tu kuwa wewe ni mwongo.swali..
1.Ulitaka nyerere asome wapi kwa kipindi hicho? kwani kulikuwa na shule zingine ambazo zilikuwa hazina mahusiano na wazungu?
2. Unaposema Nyerere hakuleta UHURU ni uongo kwa nini nchi zingine za kiafrika hazikupewa uhuru wakati nako kulikuwako na shule za waingereza mfano ni kenya......Na harakati alizokuwa akizifanya Nyerere,kambona,sykes na akina bibi titi zilikuwa za nini kama tulizawadiwa uhuru?

Acha kupotosha umma kwa makala zako zisizo na tafiti harafu unasema ndio ukweli kwa vigezo vipi?


Usitafute ufanano wa Nyerere na hao wengine kwa kutafuta vihoja vya ovyo......Binafsi sijawai shuhudia utawala wa nyere kwani amefariki nikiwa darasa la kwanza lakini mpaka sasa jina lake liko kinywani mwangu kuliko Marais nilioshuhudia uongozi wao
 
Hilo nalo la kwenda kufia Uingereza linazidi tu kusiliba ukweli kwamba Mlm Nyerere alitayarishwa na Waingereza na ndio maana hata kufia alichagua kwenda kufia huko!

Wewe jiulize, miaka yote ametutawala amekuwa akituimbisha kwamba Ubepari ni unyama sasa iweje achague kwenda kufia tena kwa Wanyama kwenye Makao Makuu ya Ubepari?
acha kujivua nguo ndugu..hakuna anayejua siku yake ya kufa so ni ngumu sana mtu kuchagua sehemu ya kwenda kufia..jaribu kuficha udhaifu wako
 
Acha uongo wewe kwanza hoja zako ni hafifu kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la 4 atajua tu kuwa wewe ni mwongo.swali..
1.Ulitaka nyerere asome wapi kwa kipindi hicho? kwani kulikuwa na shule zingine ambazo zilikuwa hazina mahusiano na wazungu?
2. Unaposema Nyerere hakuleta UHURU ni uongo kwa nini nchi zingine za kiafrika hazikupewa uhuru wakati nako kulikuwako na shule za waingereza mfano ni kenya......Na harakati alizokuwa akizifanya Nyerere,kambona,sykes na akina bibi titi zilikuwa za nini kama tulizawadiwa uhuru?

Acha kupotosha umma kwa makala zako zisizo na tafiti harafu unasema ndio ukweli kwa vigezo vipi?


Usitafute ufanano wa Nyerere na hao wengine kwa kutafuta vihoja vya ovyo......Binafsi sijawai shuhudia utawala wa nyere kwani amefariki nikiwa darasa la kwanza lakini mpaka sasa jina lake liko kinywani mwangu kuliko Marais nilioshuhudia uongozi wao

Umeandika yote hayo kwa kuwa haujaelewa nilichokiandika au hautaki kuelewa.
Nimekwambia alitayarishwa na Wazungu kuja kutawala, sasa inawezekana ilifanyika bila yeye kujua au pia kwa kujua, maana yake ni kwamba hizo Shule ili uweze kupata nafasi ya kusoma ilikuwa ni lazima utimize Masharti fulani ambayo wao Wazungu waliyaweka, na hivyo hata kupelekwa Scotland ilikuwa ni lazima utimize Masharti ambayo Wazungu waliyaweka, na akayatimiza na ndio maana alifika kote huko!

Hizo Scolarship hata leo zipo na Marekani au hata Uingereza bado wanazo, kwa mfano kuna Scholarship inaitwa Rhodes ambayo iliasisiwa na Cecil Rhodes ambaye ndie Mwanzilishi wa Zambia na Zimbabwe (Rhodesia) ambazo zilianzishwa kwa lengo hilo hilo, kusomesha viongozi wa baadae ambao watakuja kutawala nchi walizotoka na kulinda na kutetea Maslahi ya Wazungu na mfano mzuri ni Kamuzu Banda wa Malawi naye pia aliandaliwa kama Mlm Nyerere...

Mlm.Nyerere hakuleta Uhuru bali alipewa uhuru zingatia tofauti ya hayo maneno mawili!
Na ndio maana Tanzania au Nchi yetu baada ya Wajerumani kuondoka tulikabidhiwa Umoja wa mataifa (au sijui ulikuwa ukiitwaje enzi hizo) chini ya Waingereza mpaka tutakapo kuwa tayari kujitawala wenyewe, na kwa kwa kulijua hilo ndio maana shule kama Tabora boys zikaanzishwa ili zitayarishe wakoloni weusi ambao mizimu yake inatuandama mpaka leo....

 
acha kujivua nguo ndugu..hakuna anayejua siku yake ya kufa so ni ngumu sana mtu kuchagua sehemu ya kwenda kufia..jaribu kuficha udhaifu wako

Sio swala la kujivua au kuvaa Nguo bali ni Swala la Ukweli! Je Mlm.Nyerere alifia wapi? Muhimbili Makao makuu ya Ujamaa ama London makao makuu ya Ubepari?
 
Duh, Kumbe Sio Makerere Ug Ni Scotland, Kwa Hiyo Nyerere Katoa Ujamaa Scotland? Scotland Walikuwa Wajamaa? Hata Hivyo Hadithi Yako Inavutia!
 
Duh, Kumbe Sio Makerere Ug Ni Scotland, Kwa Hiyo Nyerere Katoa Ujamaa Scotland? Scotland Walikuwa Wajamaa? Hata Hivyo Hadithi Yako Inavutia!

Alivyokuwa huko Scotland, ndipo alipokutana na mambo ya kisoshalisti, na hili halimaanishi kwamba Scotland ni Nchi ya kisoshalisti hapana, bali kulikuwa na Wanataaluma wengi ambao waliovutiwa na huo Mfumo wa maisha na ndipo Mlm.Nyerere alipoanza kusoma na kufwatilia mambo ya kijamaa, kumbuka Ujamaa au usoshalisti umezaliwa Ulaya, Karl Marx alikuwa Mjerumani, ambao ndio Mababa wa Ubepari!

 
Embu toa ----- wako hapa,kwani wakati Nyerere anatayarishwa Babu yako au Baba yako alikuwa wapi na yeye asitayarishwe?wakati Mwl. Nyerere yupo Darasani anakuna Bongo,Babu/Baba yako yupo Kisiju akiandaa mdundiko kwa ya ndoa ya Mwajala ya Shangazi yako.
 
Embu toa ----- wako hapa,kwani wakati Nyerere anatayarishwa Babu yako au Baba yako alikuwa wapi na yeye asitayarishwe?wakati Mwl. Nyerere yupo Darasani anakuna Bongo,Babu/Baba yako yupo Kisiju akiandaa mdundiko kwa ya ndoa ya Mwajala ya Shangazi yako.

Uko sawa Kabisa na ndio maana aliweza kupata Scholarship ya Waingereza, kwa maana walikuwa wanatafuta Mtu mwenye uwezo ili waweze kumwandaa kumwachia Nchi na mwishowe kulinda maslahi yao, kitu ambacho alikifanya na mpaka waliomfwatia wote wanaendelea kukifanya akina Bw.Kikwete & Co.!
Babu yangu hakupata kwa kuwa kwa namna ama nyingine hakutimiza Masharti!
 
Uko sawa Kabisa na ndio maana aliweza kupata Scholarship ya Waingereza, kwa maana walikuwa wanatafuta Mtu mwenye uwezo ili waweze kumwandaa kumwachia Nchi na mwishowe kulinda maslahi yao, kitu ambacho alikifanya na mpaka waliomfwatia wote wanaendelea kukifanya akina Bw.Kikwete & Co.!
Babu yangu hakupata kwa kuwa kwa namna ama nyingine hakutimiza Masharti!

Duuuuuuuu ebwanae hiyo nayo kali. Sasa kama waingereza walimtayarisha na yeye alikuwa anatekeleza matakwa yao mbona tunabiwa au kusoma ktk historia kuwa kna wakati hao waingereza walimfungulia mashtaka kuwa anaenda kinyume na sheria zao? Yaani kuwa alikuwa anaupinga utawala wa wazungu? Na kes iliendendeshwa na Mwalimu alionekana ana hatia? Ilibibid watu wachangishe hela kulipa mahakamani ili Mwalimu asifungwe jela? Je hyo nay tunadanganywa? Inawezekana vp watu waliokuwa wanamuandaa wamfungulie mashtaka na kumtia hatian? Kisha wazalendo wa tanganyika wachangishane kumlipia ili asifungwe?
 
Duuuuuuuu ebwanae hiyo nayo kali. Sasa kama waingereza walimtayarisha na yeye alikuwa anatekeleza matakwa yao mbona tunabiwa au kusoma ktk historia kuwa kna wakati hao waingereza walimfungulia mashtaka kuwa anaenda kinyume na sheria zao? Yaani kuwa alikuwa anaupinga utawala wa wazungu? Na kes iliendendeshwa na Mwalimu alionekana ana hatia? Ilibibid watu wachangishe hela kulipa mahakamani ili Mwalimu asifungwe jela? Je hyo nay tunadanganywa? Inawezekana vp watu waliokuwa wanamuandaa wamfungulie mashtaka na kumtia hatian? Kisha wazalendo wa tanganyika wachangishane kumlipia ili asifungwe?

Kumbuka neno kupinga Utawala lina maana pana sana, inawezekana tu walikuwa na mikwaruzo ya hapa na pale ya jinsi ya kuendesha Nchi pindi atapoachiwa, lkn kusema kwamba Mlm.Nyerere aliupinga Utawala wa Wazungu kwa 100% SIO KWELI kwa maana wangeweza kummwaga na kuchukua Mtu mwingine kama wangetaka, usisahau kwamba Mlm.Nyerere alikuwa kiongozi wa T.A.N.U. na T.A.N.U. ilianzishwa na Wazungu (Waingereza) na lengo lilikuwa ni kutetea na kulinda Maslahi yao, hivyo kwa namna moja ama nyingine walikuwa na uwezo au ushawishi wa nani awe kiongozi wa hicho CHAMA walichokianzisha, hivyo kama Mlm.Nyerere angekuwa adui yao wangeweza kumzuia hata kama Wananchi wangemuhitaji, Ni kama Leo hii wewe kama ni adui wa C.C.M. na Unapinga Sera zake pamoja na za Serikali inayaoongozwa na CCM Chini ya mwenyekiti wake ambaye ni Raisi wa Nchi hauwezi kuwa kiongozi wake hata kama wanachama wa C.C.M wanakutaka, ni rahisi ki hivyo TU!
 
Wewe ni kati ya watanzania ambao ni mizigo kabisa unashindwa kufikiri katika mazingira halisi ya Kitanzania bado unawaza kwa mawwazo ya kuazima muone kwanza
 
Katika muendelezo wangu wa kutafuta kiini cha matatizo yetu hapa Nyumbani, nimekuja kugundua kwamba Raisi wa kwanza wa Tanzania au sijui Tanganyika Mlm Kambarage Nyerere alitayarishwa na Wazungu (Waingereza) tangu enzi akiwa kijana ili aje kupewa na kukabidhiwa Nchi!

Sasa ni kwa nini nimefikia hapo, ni kwamba nimefwatilia nyendo za Mlm Nyerere nikaona kwamba alisoma Tabora Boys, Shule ambayo ilijengwa na Waingereza kwa lengo la kukuza kizazi cha Waafrika watakaoachiwa nchi pindi muda wao wa kuondoka utakapofika, yaani Watawala wetu, Tabora Boys ilianzishwa kwa kufwata Mfano wa Eton college ya huko Uingereza ambayo mpaka leo Viongozi wa nchi hiyo wengi wao wanatokea hapo!

Baada ya kutoka hapo Bw.Nyerere alipelekwa moja kwa moja Scotland kusoma kwa udhamini wa Waingereza na alipokuwa huko ndipo alipokumbana ya mambo ya Ujamaa, ambayo baadae alikuja kuyapandikiza kwenye Nchi yetu!

Baada ya kutoka huko na baada ya Waingereza kuona sasa alishaiva ndipo wakamrudisha na kumkabidhi Nchi, kinyume na propaganda tunazolishwa kwamba Bw.Nyerere alileta Uhuru, ukweli ni kwamba alitayarishwa ali aje apewe kwa malengo ya kulinda na kutetea maslahi ya Wazungu (Waingereza) kazi ambayo aliifanya vizuri sana na mpaka leo watawaala wetu wanaiendeleza...


Hiki ndiyo kilele cha kutokufikiri. Hiyo shule ya Tabora alisoma peke yake? Ulitaka Waingereza wasijjenge shule kwa ajili ya kuwaelimisha Waafrika? Hata leo serikali zote duniani zinaendelea kujenga shule na vyuo ili kusomesha vijana watakaoongoza nchi zao siku za usoni.

Tabora haifanani kwa vyovyote vile na Eton College.

Nyerere alipotoka Tabora Boys alikwenda Makerere ambayo ilikuwa ni College ya University of London na siyo Scotland(Edinburgh).
 
Back
Top Bottom