Recent content by kaseka k

  1. K

    Roho ni nini? inaenda wapi baada ya kufa?

    Anzeni kujibu maswali madogo madogo Hili kubwa litajijibu lenyewe... Mfano wa maswali madogo ni kama Kwanini mtoto wa binadamu akizaliwa hatembei na kuongea mara hiyo? Kwanini kuna Vichaa na watu walio changanyikiwa? Kwa nini binadamu wengi wanaota ndoto na wengine hawaoti? Kwanini binadamu...
  2. K

    Namna bora ya kukata roho

    Binadamu si mwili huu tunauona, yeye ni roho anaemiliki mwili, kama unavyomiliki hiyo smart phone yako... Hivi ulishajiuliza kwanini mtoto wa binadamu hatembei Mara anapozaliwa? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    Mungu Alifikiria Sana'a kuzaliwa kwetu Binadamu

    Biashara ya chips mayai... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Mkeo hawezi achana na huyu mtu wake mpaka, kwanza atambue kwamba ametikisa ndoa halali, amegundurika... Akitaka kutengeneza ndoa yenu, Akili toka moyoni kuachana na huyo jamaa Mbele ya Mtaalamu wa mahusiano na ndoa si vinginevyo... Nawe unahitaji kuponywa vilevile kwani Ndoa yenu iko ICU. Kifupi...
  5. K

    Makala ya Jenerali Ulimwengu: Magufuli na utawala wa madoido uliokosa mfumo

    Naam, mwenye macho na zone na mwenye masikio na asikie... Namkumbuka sana hayati mchungaji Christopher Mtikila...
  6. K

    Three things that will never change

    Yayayayaaa Mpanzi alipanda mbegu... Zenye udongo mdogo zilinyauka... Thanks Chief 1
  7. K

    Mbinguni/peponi pamegunduliwa

    Tena kiazi kinachokula kiazi
  8. K

    Mali za Kijerumani

    Aaaaah!!!!!
  9. K

    Nyoka wa ajabu

    Hapa huwezi pata majibu sahihi ya maswali yako.
  10. K

    Ratiba za mabasi ya mwendokasi pasua kichwa!

    Hii bila shaka ni public service na si mradi wa MTU binafsi... Ukilenga zaidi kukusanya faida badala ya Huduma basi hill nalo ni JIPU
  11. K

    Swahili language now compulsory in Ugandan schools

    Watu wengine hatuelewi kuwa nguvu ya lugha ya kiswahili ni zaidi ya nguvu ya tsunami yoyote iliyo wahi ipiga dunia. Kiswahili kinazikumba nchi zote za Africa Mashariki halafu nchi zinazopakana na nchi hizi Nazi zitakumbwa tu.
Back
Top Bottom