Anzeni kujibu maswali madogo madogo Hili kubwa litajijibu lenyewe... Mfano wa maswali madogo ni kama Kwanini mtoto wa binadamu akizaliwa hatembei na kuongea mara hiyo? Kwanini kuna Vichaa na watu walio changanyikiwa? Kwa nini binadamu wengi wanaota ndoto na wengine hawaoti? Kwanini binadamu...
Binadamu si mwili huu tunauona, yeye ni roho anaemiliki mwili, kama unavyomiliki hiyo smart phone yako... Hivi ulishajiuliza kwanini mtoto wa binadamu hatembei Mara anapozaliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo hawezi achana na huyu mtu wake mpaka, kwanza atambue kwamba ametikisa ndoa halali, amegundurika... Akitaka kutengeneza ndoa yenu, Akili toka moyoni kuachana na huyo jamaa Mbele ya Mtaalamu wa mahusiano na ndoa si vinginevyo... Nawe unahitaji kuponywa vilevile kwani Ndoa yenu iko ICU. Kifupi...
Watu wengine hatuelewi kuwa nguvu ya lugha ya kiswahili ni zaidi ya nguvu ya tsunami yoyote iliyo wahi ipiga dunia. Kiswahili kinazikumba nchi zote za Africa Mashariki halafu nchi zinazopakana na nchi hizi Nazi zitakumbwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.