Namna bora ya kukata roho

Namna bora ya kukata roho

Mshana Jr akili zake zipo makalioni , akizingua ukichapa tuu fimbo makalioni akili zinarudi
 
Nimesoma tu kichwa cha habari maswali mengi sana yameibuka kichwani, ngoja baadae ntarudi kusoma body content
 
Sija elewa kabisa hasa hapo kwenye kumsaidia mtu asiende mahali pabaya...

Nimesoma kwa makini na kila nikisoma napata maswali zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu si mwili huu tunauona, yeye ni roho anaemiliki mwili, kama unavyomiliki hiyo smart phone yako... Hivi ulishajiuliza kwanini mtoto wa binadamu hatembei Mara anapozaliwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa muktadha wa Bible takatifu uko sahihi kabisa na nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja lakini dunia hii ni zaidi ya uijuavyo
Kuna imani nyingi kuna dini nyingi na nyingine ni za ajabu hasa.... Nakushauri jifunze tu ujue lakini si lazima uamini au u practice... Mungu akurehemu

Jr

Hizo imani nyingi zipo chini ya kundi moja kati ya haya mawili kundi la kumtukuza Mungu ama shetani

Hivyo sikatai duniani kuna imani nyingi ila unapaswa kujiuliza kama imani yako inampendeza Mungu ama laa maana kile unachokiamini ndicho kitapelekea roho yako kuangamizwa motoni au kuokolewa iende mbinguni
 
Ebrania 9:27 inasema"na kama vile wanadamu walivyo wekewa kufa mara moja na baada ya kufa ni hukumu",kwa hiyo dunia tunayoishi ziko falme mbili tu ambazo mwanadamu anaweza kuamua yeye mwenye aelekee pindi akiondoka hapa duniani,either aende mbinguni kwa kumuamin Mungu wa kweli(YESU),au jehanum kama ataamua kumfuata shetani kwa matendo yake,kwa hiyo mambo mengine yote yanayojili na propaganda na udanganyifu wa shetan cha msingi ni kumuamin Yesu Kristo ili kuwa ktk mikono salama na kuondokana na vitisho vya shetan na mauti.
 
Ngoja niendelee kujifunza maana hii dunia INA mengi km mchanga wa bahari.Nafananisha na sakramauti Sua ya mwisho kbs kabla ya kuacha mwili.
 
naendelea kujifunza astral projection nikiimudu vizuri safari yangu ya kwanza U.S.A.....maana wamezidi kuninyima visa
 
Back
Top Bottom