Nilitoa taarifa tabata tanesco kupitia simu kua nguzo iko ktk hali mbaya inaweza kudondoka nikapatiwa namba ya taarifa 3769 tokea hyo siku tarehe 21januari2018 mpaka Leo hakuna walichofanya pmj na juhudi zote za kuwakumbusha.........ifike pahala mtujali wateja wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.