Mwanaume epuka mwanamke maskini

Mwanaume epuka mwanamke maskini

Ndugu,

Nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.

Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela. Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.

Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto? Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba, lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.

Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.
Hasa wanawake waswahili wa vitendo.

Hawafwai hao.
 
Tunalijua hilo ndio mana na sisi wanawake tulio wengi kwa miaka ya sasa hatutaki kuwa magolikipa kwa sababu baadhi ya wanaume wakioa mwanamke asiyejishughulisha basi huyo mwanamke ajiandae kwa manyanyaso.
uko vizuri sana upstairs.
 
Someni Mithali sura ya 31 yote inaonesha namna gani Mke mwema anavyopaswa kuwa pamoja na kufanya kazi, kutafuta na kununua Mashamba, kuamka mapema, kuchelewa kulala huku akipiga kazi, huucheka wakati ujao! Mwanamke lazima ajue kuitafuta Ngawira Pesa!
 
Someni Mithali sura ya 31 yote inaonesha namna gani Mke mwema anavyopaswa kuwa pamoja na kufanya kazi, kutafuta na kununua Mashamba, kuamka mapema, kuchelewa kulala huku akipiga kazi, huucheka wakati ujao! Mwanamke lazima ajue kuitafuta Ngawira Pesa!
Hivi nani aliiandika hiyo tena!!!
Pale mwanaume alipoamua kumtwika mwanamke majukumu yake.
 
Kuna Dini Zinasema M/mke Hatakiwi Kufanya Kaz Yyte Zaid Ya Six Six Hata Kunyonyesha Mtoto Anafanya Huluma Tu We Acha Wakae Tu Ndan Wajilembe Bna
 
Wanaume tumekua wajinga na malofa sana siku hizi, mwanamke apike, mwanamke aangalie watoto, mwanamke huyo huyo ahakikishe uko smart, mwanamke akuzalie na bado tena atafute pesa? Wewe aliyekwambia kazi ya mwanamke ni kutafuta pesa ni nani? Na wewe mwanaume ufanye nini sasa, mwanaume wa kweli hutafuta kwa ajili ya familia yake na mkewe, mwache mwanamke nyumbani akuzalie watoto, akupikie na akulelee watoto. Wanaume tunatia kinyaa unataka mwanamke akufanyie kazi aje akulishe.

Tafuta pesa mkeo atumie kwa matumizi sahihi, na asikuombe pesa, anapaswa achukue maana ni zake na ni haki yake.

Mtoa thread umetuangusha sana wanaume wenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wengine vilaza ukimpa Mtaji utajuta bola akae home madogo watafutiwe fiksid akaunti iwekewe ulinzi wa kisheria na makubaliano kwa ajili ya ada na matumizi ya kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom