Dwa yake ilikuwa moja tu..! kufunua kiziboHiyo ndio dawa mubashar natamani ningekuwepo hapo kuna kumbukumbu moja hamjamuachia aisee.
Mtu mwenye tamaa ya mali lazima aungie mzima mzima.ungemjibu "sawa nitabadili dawa"
Kumbukumbu gani Mkuu? Kumchonga tread?Hiyo ndio dawa mubashar natamani ningekuwepo hapo kuna kumbukumbu moja hamjamuachia aisee.
Niliipata message ya namna hiyo. Nikamjibu 'Bwana Yesu asifiwe,
Povu likamtoka, akaanza nimekosea Namba samahani.
Sent using Jamii Forums mobile app

Niliipata message ya namna hiyo. Nikamjibu 'Bwana Yesu asifiwe,
Povu likamtoka, akaanza nimekosea Namba samahani.
Sent using Jamii Forums mobile app

Safiiiiii..........yan nilikua nawaza kufanya hvyo km ndo ningeikuta hiyo smsNiliipata message ya namna hiyo. Nikamjibu 'Bwana Yesu asifiwe,
Povu likamtoka, akaanza nimekosea Namba samahani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si ili uamini ni babu wa kijijini haswaa.alafu inaelekea hawa waganga elimu hamna angalia hata miandiko yao
Do Something 2day That Your Future Will Thank You 4

Siku nyingine uniite akipatikana mwingine, mimi kiboga nakula siku moja mojaKuna mmoja tulimuwekea mtego akajaa vizuri kilichofuata mpaka anaiaga dunia hii hatasahau alikula kipigo heavy na tukamsachi kila kitu alikuwa lap top na smart phone tatu power bank mbili wallet ilikuwa na 90000/= tukamvua nguo alibaki na boxer tu washenzi sana hawa jamaa wanajifanya wajuaji ili hali wengine tuna ujuaji kombinenga
Haaa..aaa aseee nilijua ni mm tuu kudadadeekii toka mwaka jana mwanzoni nilisha mchimba biti asikii daaah ngoja nitaziweka hapaNimetumiwa hii text na huyu ambaye bila shaka ni witch doctor..![]()
Sent from my Phillips Savvy using JamiiForums Mobile App.