Recent content by karagwe2005

  1. karagwe2005

    Mkurugenzi Mtendaji na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya fedha wa Acacia wajiuzulu

    Sovereign State huwa ina nguvu sana ikiwa na Kiongozi asiye yumba.
  2. karagwe2005

    Umetafuta Fundi wa gari yako? Uliza chochote kuhusu gari lako

    Ndugu, umesema niulize swali juu ya matatizo ya gari langu ni nijibiwe. Mimi nina Toyota Vista. Tatizo lake ni kuzima njiani, Likizima na kuliwasha, linawaka na safari inaendelea. Tatizo linajirudia kama mara 3 kwenye safari ya 20km. Watu wanasema ni plugs. Nisaidieni kujua. Tatizo laweza kuwa...
  3. karagwe2005

    Please, how do I get rid of this check engine sign on my Kluger's dash board?

    I own Kluger, 3000cc, 1998 model. The check engine sign and VSC sign have been appearing on a car's dash board after driving about 15 to 20km. My technician thought that it was the issue of Oxygen sensor. Upon changing the four sensors thrice, the problem persists. I know there are experts in...
  4. karagwe2005

    World most famous people with their QUOTES from their great SPEECHES

    Alisema msemaji wa JWTZ ilipisemekana kifaru cha jeshi kimeibiwa. Alisema hivi: Sadism is inevitable when the situation is alarming.
  5. karagwe2005

    How to approach a girl in public and win her heart

    Mkuu wa Maelezo your article is quite right!
  6. karagwe2005

    Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    Mr Tanganyika namshangaa. Mleta mada ameonesha mifano. Huyu anakuja na terminologies kama sifa za kijinga, .....Hapa inaonesha Mr Tanganyika hana facts. Naamini hata tukisema Wachagga ni wafanyabiashara wazuri hapa nchini bado atabishi. Ndugu, there is no shortcut to maturity. Komaa taratibu.
  7. karagwe2005

    Je, Mheshimiwa rais, kweli unamtanguliza Mungu mbele?

    Nchi ilipokuwa imefika, Mh. Rais wa sasa ndiye mtu anayetakiwa. Utadhani baba na mama walikuwa hawapo nyumbani! It was a shame. Heshima inarudi. Hata nchi jirani wanaanza kuiheshimu tena Tanzania. Vumilieni.
  8. karagwe2005

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Jamani siwezi kumsahau Bi Eda Sanga na sauti yake. Pia English Service of Radio Tanzania akiwa anasoma taarifa. Those good days are gone!
  9. karagwe2005

    Ukweli wa maisha tunayoyapitia vijana (true story ya maisha yangu)

    Una bahati. Ulikuwa umeingia choo ya kike. Always kumbuka msichana mnayelingana umri ana uzoefu wa dunia kama wa mama yako. Avoid. Wa kwanza hakuwa wa aina yako kiakili.
  10. karagwe2005

    The less you know, the happier you are!

    You are not alone. Kuijua vizuri dunia inayokuzunguka ndiyo chanzo cha raha kupungua! Form two dro outs na form four failures are always happy people unlike profs. Chunguza...
  11. karagwe2005

    Kuscratch kwa ITV kupitia Star Times

    Ni vizuri ITV guys wakalisemea hili. Inasikitisha sana sasa hivi!
  12. karagwe2005

    Wanawake Wenye ndevu wana utofauti Wa kipekee

    Kisayansi, wanawake wenye ndevu, love garden, manyoya miguuni na mikononi, n.k., huwa wana homoni nyingi za kiume kuliko za kike. Kwa kuwa homoni ndo mambo yote, ni wakakamavu kama midume na kule kwenye sita kwa sita, mara nyingi, wanawazidi wenzao wenye homoni za kike nyingi na za kiume kidogo...
Back
Top Bottom