wakorawaitu
Member
- Jan 8, 2015
- 46
- 9
da nimeangaika sana na mafundi kurekebisha antena kumbe watakuwa ni hao star time me nipo tegeta star time watoe tamko waache uhuni.
Wakuu,kwa kipindi cha wiki sasa ITV kupitia Star Times imekuwa ikiscratch sana hasa kuanzia mida ya saa mbili usiku. Naomba kujua kama kuna mtu ameona tatizo hili. Isije kuwa ni hujuma za TBC za kutaka tuangalie taarifa ya habari ya TBC badala ya ITV.
Itakuwa ni mambo ya bad reception tu, niko Azam sasa nacheki habari ITV iko shwariii kabisa!
ITV hata kwa azam Tv ukiiacha mda mrefu inaganda, unakuwa unasikia sauti lakini picha imeganda
Wakuu,kwa kipindi cha wiki sasa ITV kupitia Star Times imekuwa ikiscratch sana hasa kuanzia mida ya saa mbili usiku. Naomba kujua kama kuna mtu ameona tatizo hili. Isije kuwa ni hujuma za TBC za kutaka tuangalie taarifa ya habari ya TBC badala ya ITV.
The same,ITV ni shida tupu
Wakuu,kwa kipindi cha wiki sasa ITV kupitia Star Times imekuwa ikiscratch sana hasa kuanzia mida ya saa mbili usiku. Naomba kujua kama kuna mtu ameona tatizo hili. Isije kuwa ni hujuma za TBC za kutaka tuangalie taarifa ya habari ya TBC badala ya ITV.