Recent content by Kapilula

  1. K

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Mbona vyanzo vya mapato vko ving tu mbali na vivo ulivotaja kamanda
  2. K

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Ivi kwani watanzania wote wafanyabiashara? Mbona zpo mahakama za usuruishi wa biashara, zpo za ardhi. Ila hii ya kadhi ndo inakua issue sana!!!
  3. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Npe mda kidogo Nate Bea mkuu
  4. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Kuna mtu nimemtumia email anaweka. Nimekuelewa ngoja kidogo siko mazingira mazur na inakubali mojamoja npe dk 15 mkuu
  5. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Kuna mtu nimemtumia email anaweka
  6. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Baadhi ni aya apa kuna mtu nimemtumia email an a attach apa
  7. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Ingia ukumbini
  8. K

    Matokeo ya usaili TRA

    Nielekezeni jinsi ya kuattach nimeyapiga picha yote
  9. K

    Mwanasiasa gani mkali katika jukwaa anapohutubia wananchi

    Hua namfatilia sana Mbatia wakati anapokua anataja siku tarehe,mwezi na mwaka
  10. K

    Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

    Wazee wa kutakatisha miamala michafu
  11. K

    Prof. Tibaijuka: Nijiuzulu kwa lipi?

    Sasa kuna haja ya binge kupewa meno ili likithibitisha madudu kama haya linamaliza kila kitu lenyewe kama mihimili mingine. Inakuaje linaweza kumuajibisha PM na lishindwe mawaziri wa kawaida.
  12. K

    Vyakula vinavyoleta ashiki (Foods That Make You Horny)

    Mkuu vyakula vyene zink ni vp? Ebu nivumbulie kidogo kuna tukio nataka nfanye mwishoni mwa mwaka
  13. K

    Kikwete atakuwa USA kuanzia Alhamis ijayo

    Nimependa uliposema akitoka madarakani afilisiwe ila apo kwene ukabila tena...Mh!!
  14. K

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu 29 Septemba 2014 - Maboresho ya Rasimu na Upigaji Kura

    Apo wanasema mtu yoyote anaejua kusoma na kuandika anweza anaweza kuna mbunge ili kuondoa ubaguzi kati ya wene elimu na wasiokunao.
Back
Top Bottom