mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Wadau katika harakati za kisiasa hapa nchini kuna wanasiasa vijana kwa wazee ambao akipanda jukwaani wananchi lazima wachanganyikiwe kwa hoja zake na mvuto Wa Sera zake kwa mfano hawa hapa chini
1: Mwigulu Nchemba - siasa zake ni mwiba kwa CHADEMA.
2: Lusinde - siasa za kipropaganda anapokuwa jukwaani.
3: Lema - siasa za kiharakati zaidi anapokuwa jukwaani. Siasa za chuki dhidi ya serikali
4: Joshua Nassary - siasa za kikanda na ukabila na maslahi ya Pesa.
5: Nape Nnauye - siasa zenye tija kwa CCM zaidi kuliko taifa.
6: Magufuli na Mwakyembe - siasa za maendeleo wanapokuwa jukwaani
Kama mnanyongeza za wanasiasa wengine.
Nawasilisha.
1: Mwigulu Nchemba - siasa zake ni mwiba kwa CHADEMA.
2: Lusinde - siasa za kipropaganda anapokuwa jukwaani.
3: Lema - siasa za kiharakati zaidi anapokuwa jukwaani. Siasa za chuki dhidi ya serikali
4: Joshua Nassary - siasa za kikanda na ukabila na maslahi ya Pesa.
5: Nape Nnauye - siasa zenye tija kwa CCM zaidi kuliko taifa.
6: Magufuli na Mwakyembe - siasa za maendeleo wanapokuwa jukwaani
Kama mnanyongeza za wanasiasa wengine.
Nawasilisha.