Timu iko poa..kama umecheza mpira kuna siku mchezaji game ukataa..msuva huyuhuyu si ndiye alikuwa anazomewa kila siku kwenye ligi lakini mwisho wa siku akawa mfungaji bora..mfano leo busungu kacheza vuzuri sana..unapo tathmini kiwango cha timu yako angalia pia na kile cha mpinzani wako..wale...
Simba mtabadilisha timu za kushabikia mpaka mashindano yanaisha..na mi nasema endeleeni hivyohivyo maana hakuna namna nyingine..poleni sana..na kwa timu yenu ilivyo mwakani anzeni kabisa kuchagua zingine za kushabikia...
Nimekumbuka mbali sana..nilikuwa naipenda Tancut Almas Orchestra..wana kinyekinye kisonzo tisa kumi mangala..Kyanga Songa na Kasaloo kyanga mapacha hao walikuwa moto wa kuotea mbali.
Acha upotoshaji wewe,watu wanashida na pesa wewe kama umetosheka na hela zako sawa..ila kwa mwenye information atoe kwa jeshi letu..mbona hata Osama alipatikana baada ya America kutangaza donge nono..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.