Kauli hizi za Magufuli

Kauli hizi za Magufuli

Najua Magufuli ni mtendaji, ila lazima awe
na 1, 2, 3, 4........ kama mgombea urais, lazima aseme hata kidogo tu, he is like not prepared at all, nataka kujua his areas priorities, ana plan gani, ILANI YA CCM hawezi kumeza tu, yeye anagombea urais sio ubunge, lazima atupe vionjo of his A,B Cs kama akichaguliwa atafanya nn, sio maneno ya jumla jumla hapa...
hii nchi ya kimaku hamna haja ya kuwa na ilan cjui plani ukitaka kuwa rais. Hata ukilala ukaamshwa kesho na kupewa urais ghafla mambo yanaenda tu. Bwegeeee tunaye ametuziirishia Hata kabint cha chekechea akipewa urais mambo yataenda tu. Nyambaff zetu!!
 
Amekariri, hatatuangusha hatatuangusha, hata waliopota walisema zaidi ya hiyo ya kutuangusha.
 
Nilikuja kimya kimya, nikachukua fomu kimya kimya, nikamuomba Mungu kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya...nikashinda Kupeperusha bendera ya CCM kimya kimya....


Sitawaangushaaa, sitawaangushaaa, kimya kimya, eboooooooooo....!!!

Tell us ur policies, ur areas of priorities, tell us utatufanyia nn..? Just hints, natambua kampeni bado officially, but tupe hints utatufanyia nn, ACHA KUSEMA UTAFUATA ILANI TU YA CCM....yaani utaimeza na kukariri ilani yote ya CCM...? ebooo, ww huna chochote, unameza tu unavyopewa..? Tht is most dangerous...!!!

Ni kweli hatawaangusha wana ccm wenzie na watanzania au wasukuma kama anavyowaaminisha
 
Najua Magufuli ni mtendaji, ila lazima awe
na 1, 2, 3, 4........ kama mgombea urais, lazima aseme hata kidogo tu, he is like not prepared at all, nataka kujua his areas priorities, ana plan gani, ILANI YA CCM hawezi kumeza tu, yeye anagombea urais sio ubunge, lazima atupe vionjo of his A,B Cs kama akichaguliwa atafanya nn, sio maneno ya jumla jumla hapa...

Tingatinga kaokota dodo jangwani....kapigwa na mshangao...hajui hata afanyeje...!
 
Nilikuja kimya kimya, nikachukua fomu kimya kimya, nikamuomba Mungu kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya...nikashinda Kupeperusha bendera ya CCM kimya kimya....


Sitawaangushaaa, sitawaangushaaa, kimya kimya, eboooooooooo....!!!

Tell us ur policies, ur areas of priorities, tell us utatufanyia nn..? Just hints, natambua kampeni bado officially, but tupe hints utatufanyia nn, ACHA KUSEMA UTAFUATA ILANI TU YA CCM....yaani utaimeza na kukariri ilani yote ya CCM...? ebooo, ww huna chochote, unameza tu unavyopewa..? Tht is most dangerous...!!!
kaka heshima kwako! Inaonekana hakuwa/ motive na hajui anataka kuwa Nani ktk Nchi hii, of which ni hatari sna! Atuambie ni nn kilimusukuma kuchukua fomu, na km anasubiri kukaririshwa agenda/ilani atapata Shida sna!
 
Mzee wa Chemistry, kama huwezi kumeza huwezi faulu chemistry.

Anasubiri ilani ya ccm ameze ndo aanze kuihubiri.

Hana anachokiwaza maana kashitukizwa.
 
Mfumo mbovu hata ukimleta malaika no change at all
 
kaka heshima kwako! Inaonekana hakuwa/ motive na hajui anataka kuwa Nani ktk Nchi hii, of which ni hatari sna! Atuambie ni nn kilimusukuma kuchukua fomu, na km anasubiri kukaririshwa agenda/ilani atapata Shida sna!


The guy is not ready kabisaaaa....

Is like maskini fukara unamwamsha toka usingizini, unampa Tshs 1 bilioni, unamwambia utafanyia nn...!!? Ataanza kwanza kupanic, jasho litamtoka, moyo kwenda mbioooo... kisha atasema nitaziweka benki tu... sbb hajui la kufanya... hayuko ready...hakutarajia kuona pesa hizo maishani...

I believe Magufuli, hakutarajia kabisa kugombea urais, imekuja by surprise tu...sasa hii hatari sana si kidogo...sbb his words inaonyesha kabisa, hakuwa prepared...Hapo aliko anasingizia atafuata Ilani ya CCM, eeeehh, yeye hana kitu chochote it means.... haya maajabu haya...!!!
 
Nilikuja kimya kimya, nikachukua fomu kimya kimya, nikamuomba Mungu kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya...nikashinda Kupeperusha bendera ya CCM kimya kimya....


Sitawaangushaaa, sitawaangushaaa, kimya kimya, eboooooooooo....!!!

Tell us ur policies, ur areas of priorities, tell us utatufanyia nn..? Just hints, natambua kampeni bado officially, but tupe hints utatufanyia nn, ACHA KUSEMA UTAFUATA ILANI TU YA CCM....yaani utaimeza na kukariri ilani yote ya CCM...? ebooo, ww huna chochote, unameza tu unavyopewa..? Tht is most dangerous...!!!

Muda wa kambeni bado mkuu..kuweni na subira...sasa akikwambia atafanya nini sasa hivi na wakati wa kampeni ataongea nini..?
 
Nilikuja kimya kimya, nikachukua fomu kimya kimya, nikamuomba Mungu kimya kimya, nikarudisha fomu kimya kimya...nikashinda Kupeperusha bendera ya CCM kimya kimya....


Sitawaangushaaa, sitawaangushaaa, kimya kimya, eboooooooooo....!!!

Tell us ur policies, ur areas of priorities, tell us utatufanyia nn..? Just hints, natambua kampeni bado officially, but tupe hints utatufanyia nn, ACHA KUSEMA UTAFUATA ILANI TU YA CCM....yaani utaimeza na kukariri ilani yote ya CCM...? ebooo, ww huna chochote, unameza tu unavyopewa..? Tht is most dangerous...!!!

Hivi wewe una akili kweli? Ebu nitajie mkutano hata mmoja ambacho chadema/ukawa in general wamewahi kueleza hayo.
Chadema hawana:-
1:areas of priorities
2:hawajui watatufanyia nini.

Chadema/ukawa wanachofanya ni kueneza chuki tu kati ya ccm na wananchi basi lakini hawana lolote,ni visionless
 
Back
Top Bottom