Haka kajamaa kana dharau sana.

Haka kajamaa kana dharau sana.

Kwa post namba 13 ya Bavaria kwenye uzi huu utagundua Messi yupo sahhi maana anaonekana akiwa kashika mwiko kama anajenga (sasa kwenye ujenzi tena aje na suti kama waheshimiwa wetu wanavyovaa suti wanakwenda kupanda mti huku wametandika zuria chini
Dah point yako ina mashiko aisee.
Watu wamezoea kibongo bongo.
 
Last edited by a moderator:
Marais wetu wa Afrika,ni sehemu ya matatizo yetu,US$ mil 3.something
 
Dharau kitu gani? Mimi mbona sijaona dharau hapo, au watu walitaka avae suti? Hivi suti ni vazi la kiafrika?? Acheni mawazo mgando ninyi, Messi ameamua kuvaa alichojisikia kuvaa. Sidhani kama amemtukana mtu kwa mavazi yake. Kwani kuvaa suti ndio kuwa na heshima?
 
Europe ni baridi, Afrika ni joto
Muwe mnatumiaga na tuakili twenu tudogo wakati mwengine
Hv kuna heshima gani kuvaa suti wakati ni mla rushwa? ?si afadhali kuvaa sindausi lkn mwadilifu..wake up guyz

Inategemea mkuu ni kipindi gani Europe, maana siyo mda wote ni baridi, kuna joto pia tena Kali hasa kwa kipindi chake
 
Mashabiki wa Madrid wana vituko
Vip hapo ktk ujenzi angekuwa ni yule mwanamitindo wenu angeshika mwiko

Kuna sehemu imeoneshwa kuwa kuna shabiki wa Madrid hapo?
 
Dharau kitu gani? Mimi mbona sijaona dharau hapo, au watu walitaka avae suti? Hivi suti ni vazi la kiafrika?? Acheni mawazo mgando ninyi, Messi ameamua kuvaa alichojisikia kuvaa. Sidhani kama amemtukana mtu kwa mavazi yake. Kwani kuvaa suti ndio kuwa na heshima?

Wasipo elewa hapo basi tena!
 
hakunashida hapo navazi!mbona shishi babe alivaa uchi us
 
Back
Top Bottom