Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
- Thread starter
- #441
Ni wimbo wa Julie...Uliimbwa na Washirika Tanzania Stars Band... Watu njatanjatakuna wimbo una maneno kama sijasahau... wanaimba wanasema "judy eeeehh eehh nikupe nini uridhike ,judy eeh chakukupa sina mama eehh... ufukara nilio nao..ufukara umekuwa kashfa ya mapenzi yangu...nlizunguka dunia nzima kukupenda....sijui waliimba akina nani na unaitwaje au nani anao
Last edited by a moderator: