Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

mdukuzi

Atabaki kulipwa mshahara na kutunzwa karibu sawa na (Equaivalent) Makamu wa Rais atakayekuwa madarakani hadi kufa.
 
Last edited by a moderator:
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?

Hata mimi siwaelewi hawa watu, lakini naamini CCM kwa kumchagua Magufuli, wamefanya chaguo sahihi na wamewapiga bao UKAWA.
 
Ghalib Bilal kama Pinda, hawana maadili ndio maana WALIKATWA TU kwenye ngazi ya kamati ya maadili na Usalama. Hawachekani na Lowassa!

Top 5 ya awali kabla ya kuchakachuliwa walikuwemo mpaka makongoro Nyerere , lakini CC walichomoa majina Yao kimagumashi Kwa shinikizo la Jk kusha wakawapachika migilo, January na membe kienyeji enyeji tu lakini lengo Lao walitaka kumpenyeza Membe hadi kuwa mgombea pekee wa ccm ndipo Wajumbe Kwa hasira wakampigia kura Magufuli ili kumwonyesha Nape kuwa waliyewapachika hawatakiwi, hivyo watu waliompa kura Magufuli ni wa upande wa Lowasa na endapo Lowasa asingefanyiwa uchakachuaji leo hii angekuwa ndiye Kimara .
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?

Yule wa mkulima wa kigoma.
 
waende tu wamwache el alosomea siasa aendelee kupambana na j.k wao wakapumzike ila lowasa hatomuacha j.k hivihivi na bado anakula naye sahani moja na mpaka sasa amemueza vyakutosha na mengi yanakuja tusubiri

Endelea kuota njozi..
 
Si nasikia jamaa ni mbobezi wa mambo ya Nuclear? aende Marekani akaajiriwe na NASA, atalipwa pesa nzuri kuliko mnyanyaso wa aibu uliompata.
 
Hivi kamw hali ilivyo sasa anaweza kuwa nani tena kusiasa? Namsikitikia sana kwa vile ni very inteligent.
kwa udhalilishaji alofanyiwa anatakiwa astaafu ale pensheni acheze na wajukuu zake tu nyumbani
 
mdukuzi

Hivi kamw hali ilivyo sasa anaweza kuwa nani tena kusiasa? Namsikitikia sana kwa vile ni very inteligent.
labda waziri wa ulinzi au mambo ya ndani kwa sababu kule atalindwa automatically kutokana na nature ya hizo wizara,
 
"A week is a long time in politics" (Harold Wilson)

Mambo yanabadilika haraka sana leo ahadi za miaka mitano na siasa za zanzibar zinamsubiri yeye bado na popularity ileile.

Siasa za uchaguzi ni balaa sasa hivi wenzetu 'labour party' wa UK wanatafuta kiongozi wa chama, jana Tony Blair kadai chama kirudi central left. Leo aliyekuwa naibu wake kamjibu anadai no one should listen to him anymore and he should shut up chama kirudi kushoto zaidi, kuongezea chumvi kamponda pia mwenyekiti wa sasa kwa upuuzi anaofanya kwenye uongozi wake wa muda kukubali sera za conservative bila ya kuchallenge bungeni tofauti na mrengo wa chama chao.

Hapo bado kambi za wagombea wenyewe wanavyotunguana hadharani nani afai kwanini na ajitoe tu mwenyewe, siasa nyie halafu ukiisha uchaguzi watu walewale wanakuwa kitu kimoja. Watu wakubali kwenye vyama ambavyo maamuzi yao yashaamuliwa ndio sihasa zenyewe.
 
Back
Top Bottom