Black Hawk msaada tafadhari. Nikishainshtall hiyo Sms Forwading, na nikaset namba yangu. Nikiifuta hiyo app, itaendelea kufanya kazi, au? Mana nahisi kama ikibaki itakuwa tatizo.
Heshima kwenu GT.
Mimi ni mmoja wa wahitimu niliofanya vibaya katika matokeo ya kidato cha sita. Sasa nataka nitumie cheti changu cha form 4 nikasome diploma ya madini. Ukiacha chuo cha madini cha dodoma mana admision zmefanyika, ni chuo gani kingne bora kinachofundisha madini nchini kwetu?
Nilikuwa kila napojarbu kuingia kwa kutumia either application or google inagoma, kumbe tatzo llkuwa settings, ila kwa sasa nishasolve. Thanks for your concern.
Model ni itel it2060.
Katka kulogin bada ya kuingza username na pasword, napologin simu inaload kwa mda then badala ya page ya fb kufunguka, inarud kule kule ikinitaka kuingza upya username na pasword. Tatzo ni nini hapa? Au haina uwezo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.