Mzee hawa wote wanataka kukuibia ela yako. Kama unavijisenti vyako. Kazigonga na wanaoongea kwa kiingereza alafu uwetayari kukosolewa na kujifunza.watu ambao lugha yao ya hasili kiingereza wanapenda kuwasaidia wanaopenda kukijua kiingereza. Watu wanaojua kiingereza wakati sio lugha asili ndio wenye nyodo nyingi
Hata uende British Council bila kuongea broken huezi jua ng'oo, English ni mazoezi ya kuongea bila kuogopa broken yako, Asa utaenda huko British Council lakini ukirudi home, ni swa tuuu, aiii huwezi Jua
pm, if you need assistance on that, am good teacher,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.