Recent content by KANJARA

  1. K

    CCM yaichinja CHADEMA Singida

    Tunawajua nyie mnaojipendekeza wengine ni waandishi wa habari ambao wanatarajia kupata neema ya utreuzi na wakati tabia na mienendo yenu inajulikana . Mara kibao utawakuta kwenye jengo la ccm mkoa wakiwatafuta viongozi ili wawape viera wakawarushe kwenye vyombo vya habari. Wengine ni mameneja...
  2. K

    Full Text: Hoja Binafsi ya Mnyika iliyozua kizaazaa bungeni (na Ripoti ya CAG)

    Nadhani japo Mnyika amejikita kwa Dar es salaam basi hoja hii iwahamshe hata wabunge wengine mabubu kuunganisha sauti zao kwa kushiriakiana bila kuangalia itikadi za vyama kuleta ufumbuzi. Si dhani kama Mnyika amekosea amewawakilisha wananchi wake kwa hiyo ilikuwa fursa kwa wananchi wa maeneo...
  3. K

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    ....But wworld seething with hatred is an intolerable place to live in. But we can not reach the goal by hypocrisy or wishful thinking. We can only do it by honest thinking, honest talking and honest living" haya ni maneno aliyoyasema mwalimu Nyerere 1952 akiwa anasoma Ednburgh University...
  4. K

    Bungeni kimenuka, Naibu Spika azomewa! Bunge lavunjika kabla ya muda...

    Nadhani kwa mtazamo wa harakaharaka usio wa kina watu huwa wanadhani CHADEMA kinavurugu lakini kwa watu wasiokuwa wanafiki na wadadisi nadhani chadema huwa na watu wasiopenda kufunika kombe mwnaharamu apite. Kwa upande wa wabunge wetu waccm huwa wanatetea ili waendelee kushika nafasi na...
  5. K

    Dunia yalaani kifo cha mwandishi Daud Mwangosi

    Any where in the world no scientific prove ever undertaken to verify intimidation and notorious killing as the bridge to the road of peace. For current world leaders need to be guided by humanity, avoiding arrogance and readness for postive critiscism whose undertaking create the road map for...
  6. K

    William Malecela kajiondoa JF kwa sababu ya ITIKADI. Zitto ndani ya ndege ya JK ni us

    Katika maisha jambo zuri na endelevu kwa mtaka maendeleo ni kuamini kuwa kuna wengine wanaojua zaidi yako hivyo utakuwa kubali kukosolewa na hatimaye wazo zuri na endelevu katika utatuzi wa changamoto mbalimbali za kidunia. Nadhani ndugu zangu wa ccmwanakosoa kwa kuwavamia wanaotoa hoja juu yao...
  7. K

    LWAITAMA aunguruma juu ya WARAKA wa LEMA kwa Rais Jk!

    Tanzania namzaha wa Ajira kwa vijana Nashukuru ndugu WANA JAMII FORUM kunipanafasi ili niweze kutoa maoni yangukuhusu tatizo la ajira ambalo limekuwa ni donda sugu katika jamii (mataifa)yanayoendelea ikiwemo Tanzania. Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kazi duniani 2011 inaonyesha kuwa...
  8. K

    CRDB na undugu kwenye Ajira

    Acheni kuadaa watu kwa nadhalia watu wengi wamebuni mawazo tena mazuri lakini wameshindwa kujiajiri. Nadhani watu mlitakiwa kuja na data kuhusu walioanza biashara bila mtaji sambamba na historia zao. Nimewahi kuhudhuria mjadala wa ujasiriamali pale Paradase Hotel...
  9. K

    Leo Wakuu ni Kufunguka Kuhusu Wahaya Unavyowajua!

    Wanamsimamo hatakama hana ela anajitaidi kutunza heshima na utu wao tofauti na makabila mengine ambao mtu yuko tayari kuinamishwa ili apate ankala
  10. K

    CHADEMA yawapa raha watanzania: Taifa Lazizima

    utaifa kwanza vyama baadaye. Watanzania msio na vyama pazeni sauti zenu msiogope hakuna chama cha kuwafukuza. Lazima tuwe na mchakato ambao hautahodhiwa na chama kama CCM wanavyokomaa na ma dc wakati wanajua kabisa kwamba ni mawakala wa CCM wilayani na wanatumia nguvu kuliko akili. Wakurugenzi...
  11. K

    Nimefaulu form four, nipongezeni jamani

    Hongera huo ni mtihani lakini bado kuna form vi, ue, kutafuta kazi na mkubwa kuliko yote kuchaguo mwenzi wa kweli wa ndoa
  12. K

    Tunaandaa nyaraka za kusajili kampuni kwa Tshs Laki 1 (Memorandum na Articles of Association)

    mi niko SINGIDA naendesha mafunzo ya ujasiriamali katika kubuni wazo endelevu la biashara napango wa biashara (business plan) . MCHAKATO WENU NI MZURI TUNAWEZA KUSHIRIKIANA?
  13. K

    Mkakati gani thabiti kuwakomboa vijana wasio na ajira?

    Asatnte sana kwa maono yako mjomba. Historia yako ni nzuri kwa maana ukitaka kufahamu au kutibu tatizo ni vyema kufahamu hisitoria. Unaposema huyu mtoto ana maadili ni vyema tukaangalia historia ya makuzi yake katika familia na hili linazibitishwa na ndugu zangu wachaga kwakuwa na monkali ya...
  14. K

    Kuitwa kwenye usaili

    hizi kazi zipo au geresha kunauwezekano watu walishapelekwa kama volunteer. Masela mlioitwa msisite koma nao mdhibitishe kuwa watoto wa wakulima ni noma . Waone haibu wenyewe kuwaacha watu wenye umahiri kama ninyi. Lakini pia mkipata wajomba msibweteke muwe chachu yakuleta mabadiliko si kuwa...
  15. K

    Mkakati gani thabiti kuwakomboa vijana wasio na ajira?

    Vijana mnaowategemea wanasiasa kufikiri kwa ajiri yenu mnawakati mgumu. Serikali tayari imewatenga wako tayari kuwatumia wakati wa uchaguzi ukiisha vinakuja visingizio kuwa vijana wanapenda utajiri wa haraka, hawajitumi ,hawana uzoefu na wanakurupuka. Nimekuwa nikifatilia mitizamo mbalimbali ya...
Back
Top Bottom