Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
vipi kuhusu firstlady wakusoma, senator, figganigga na tusker baridiii? je wamefaulu?
figganigga sijui katokomea wapi..
vipi kuhusu firstlady wakusoma, senator, figganigga na tusker baridiii? je wamefaulu?
kheee we mkare kwa hiyo cookery umefeli sana kiasi cha penalty..
Namalizia, hebu nikusanyie na past papers zote nkitoka tuishieni nazipitia. Tegemea 1 point 7 kama yako..heee! Hebu malizia ile homework yako swahiba. Hautaki kufaulu wewe?
Hahaha! Eti jf haina vilaza!! Nimecheka kwa laudi spika ati.watakuwa wamefaulu. Jf haina vilaza.
Nshawajua. Hivi ulipata habari **** anti ako alikuwa kalazwa? Ametoka juzi...emeeen! Kuna material kabati zima yamejaa. Ushindwe wewe. Hlf kuna watu nawatafuta. Ushawajua eeh?
hahahaha! We mi nina one yangu kaliii!
Au unataka uone result slip yangu! Lol.
wamenionea bana mi nliweka manjonjo kibao siku ile mpaka msimamizi akaomba hotpot nimuwekee sample akai taste nyumbani...
Hongera huo ni mtihani lakini bado kuna form vi, ue, kutafuta kazi na mkubwa kuliko yote kuchaguo mwenzi wa kweli wa ndoa
husninyo kumbe wewe denti? mmmh hongera lakini naona umefata nyayo za dadako hapa nilikula one ya 10 enzi zile sijaanza na mabazazi
Hahaha! Eti jf haina vilaza!! Nimecheka kwa laudi spika ati.
Nshawajua. Hivi ulipata habari **** anti ako alikuwa kalazwa? Ametoka juzi...
Samari imeanza, chukua kalamu na karatasi manake ni ndefu kama notisi za Geography!
Congrats husny... Mi nimepata div3 ya point 10 wamenipiga penalty ya ukunaji nazi... Sijui kwann siku attend discussion siku ile.