CCM yaichinja CHADEMA Singida

CCM yaichinja CHADEMA Singida

Burian ccm!! hata anayejinyonga roho inapotoka anahakaika! hivyo endeleeni kutapatapa hizo ndo dalili za kutokwa na roho! tunajua mbinu zenu zote! ujinga mtupu!!!
 
Join Date : 25th November 2012
Posts : 20
Rep Power : 315
Likes Received0
Likes Given0



Bado haujitambui kama huna hoja zinazoguza watu humu JF tangu umejiunga hakuna anayekupa like, anzisha ID nyingine uwe unajipa Like mwenyewe angalau ujifariji kwa ujinga ulionao.

ukweli mwingine mbaya aisee!
 
Kaka siasa haina rika. Usijione upo lichama lako ulilopewa cheo kwa ajili ya ushemeji. Mi ni kijana mwenye fikra sio fikra kama zako za kimagamba.

Mnachotaka kututoa kwenye mada muhimu kutuleta huku. Kwa taarifa yenu hamumpati mtu.

Nimekupata wewe uliyeingia siasa ukubwani, inatosha!
 
Tunawajua nyie mnaojipendekeza wengine ni waandishi wa habari ambao wanatarajia kupata neema ya utreuzi na wakati tabia na mienendo yenu inajulikana . Mara kibao utawakuta kwenye jengo la ccm mkoa wakiwatafuta viongozi ili wawape viera wakawarushe kwenye vyombo vya habari. Wengine ni mameneja kwenye radio mbalimbali ambao wanatembea na dada zetu wanaoomba kazi . Waandishi wa haina hii muda wao umekwisha maana jamii inaulewa mpana. Hacha propaganda ccm hawana cha kujivunia isipokuwa mbunge bubu asityeweza kusimama na kutoa kero za wananchi mjengoni. Fedha anazoiibia serikali kwenye biashara anawapelekea misaada wanachekelea bila kujua kwamba wanaliwa.
 
Tatizo hujui maana ya siasa kubwa jinga. Siasa ndivyo ilivyo. Ila kijana kama mimi hata watu 10000000 wakitoka CCM wakija CDM haimaanishi nitafurahi. Kijana kama mimi nataka kuona mabadiliko yanayotokana na siasa sio siasa inayotokana na mabadiliko. Huwezi kunilazimisha nisikilize kila kitu mtu anachosema. Ninachosimamia hapa ni kama wewe kijana jaribu Kuangalia vizuri nafasi yako ya kulitetea taifa lako.

Kumbuka mabadiliko ni mimi na wewe upo kubwa jinga?



kama ungekuwa unaangalia nafasi yako kutetea Taifa lako usingekuwa unatetea ujinga ukifanywa na chama chako lazima uwe unasema kweli, ukiliona baya la CCM sema na La Chadema sema sio unakuwa mnafiki kama wewe
 
Kama JF imepata watu wa aina ya akina mmkhotya, it means JF is no longer the home of great thinkers, but may be the home of great majuha.
 
Yaani tangu mwaka 1977 mpaka leo Magmba wana hangaika na kutafuta wanachama? mi nilifikiri haya mambo ni ya vyama vipya kumbe hata Magamba wamo kweny kusaka wanachama

Ukihesabu wanachama wanaodaiwa kuhamia ccm kutoka CHADEMA tangu 2011 wanazidi 20 milion.

Sasa jiulize hiyo CHADEMA ina wanachama wangapi na wanahama kwa mamia kila siku na hawaishi.
 
Katika maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM. Wanachama 275 wa CHADEMA wamehamia CCM mkoani Singida. CCM YANG'AA ZAIDI

mbona hamkurusha wote na sura zao tuwaone, je umewauliza waliacha lini ccm na kuwa cdm, au ndo wale mliowatuma kwa lengo la kuvuruga cdm wameshindwa ndio mnajiandaa kuwapokea kwa kushindwa kazi kama propaganda. waulizeni lumumba wenzenu waligombana kuhusu dada yenu na vijana wenu mliowatuma wakshindwa kazi na mkasema hawastahili kupewa vyeo

yetu macho, bila evidence no right to speak
 
Porojo tupu.
CCM inang'ara kwa ufisadi na ujambazi,pia uchakachuaji...sasa mko level za kujichakachua hadi nyinyi wenyewe!

Chadema choke mbaya Anglian Nyomi iliyotoroka magwandani
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    71.9 KB · Views: 56
  • image.jpg
    image.jpg
    108.2 KB · Views: 50
  • image.jpg
    image.jpg
    104.2 KB · Views: 45
  • image.jpg
    image.jpg
    94.4 KB · Views: 45
  • image.jpg
    image.jpg
    74.2 KB · Views: 46
nimepokea sms inasema:Marehemu CCM alizaliwa 5//2/1977. Enzi za uhai wake marehemu alijishughulisha na kuua mazao ya biashara kama kahawa, pamba, tumbaku, korosho na katani. Mareheu pia atakumbukwa kwa kuua viwanda kama Mwatex, Mutex, Kilitex, Ufi, Tanganyia Packers n.k Pia aliwapa wageni mali za waTZ. Ameacha Wachina Kariakoo, Waarabu Loliondo, Makaburu Mererani n.k Marehemu ameacha mke mmoja aitwaye CUF na watoto wawili TLP na UDP.
 
kama ungekuwa unaangalia nafasi yako kutetea Taifa lako usingekuwa unatetea ujinga ukifanywa na chama chako lazima uwe unasema kweli, ukiliona baya la CCM sema na La Chadema sema sio unakuwa mnafiki kama wewe

Ujinga gani unaofanywa na chadema? Kupinga Ufisadi na kuwaharibia michongo yenu ya ufisadi? Acheni unafki nyie hamuwezi kutubadilisha tunaojua maana kwa fikira zenu mufilisi.
 
Kaka kwa muda huu hakuna atakayekusikiliza na vipropaganda vyako feki. Tunahitaji mutatue kero zetu nyie maccm sio mnaleta mambo ya umbea hapa. Tumechoka na umbea wenu.
Yaani mtu mzima umekaa kabisa unaleta upuuzi huu huku unajua nini kinaendelea? Huu sio mpango sepa bana.

Usiuite upuuzi - fanya uchunguzi kwanza. Watu wa singida hawajaamka hasa village bado ccm ni mungu-mtu
 
Chadema choke mbaya Anglian Nyomi iliyotoroka magwandani

ew ni bonge la mzushi sas mbona picha zote ni za iana moja tu. halafu hawa wtu yaelekea waliksnywa na malori ndio maana umeshindwa kupiga sehemu tofautitofauti. jidanganyeni watu wanawasha indicator ya kuwaacha na siasa zenu za mwaka 47.
 
Usiuite upuuzi - fanya uchunguzi kwanza. Watu wa singida hawajaamka hasa village bado ccm ni mungu-mtu

Kaka mabadiliko ni mimi na wewe pamoja na mleta mada. Sasa yeye analeta ushabiki wakati watu wanalala na njaa na kinachosababisha kinajulikana!!!? Kwa hiyo kutoelimika kwa watu wa Singida ndio iwe sababu ya kutowapatia huduma stahiki? Nadhan licha ya kuwa ni mbaya kufanya hivi pia nadhan ni zambi kubwa sana. Nilikuwa naamaanisha uppuzi huo sio vingine.
 
Back
Top Bottom