Natumia simu ya sumsung galaxy S2 kuna mtu akipigiwa cmu kwa namba yake zinaingia kwangu halafu mwangu inaniandikia "call forwaded" huku inaita je, nawezaje kuondoa ttz hilo ili simu iwe kama mwanzo.
Dah! sasa hii serikali ya ccm inataka watu wauane ya mtwara hayajaisha bado wanataka kutuchokonoa wana mwanza tutachoma ofisi zao ili wasipate sehemu ya kufikiria mipango ya ajabu.
ulisikia wapi? mimi ni mmoja kati ya tuliokuwepo igoma cku hiyo polisi ndio wale .jambazi kwa kurushiana risasi mambo mengine mkuu uwe unajiuliza kabla kuongea usichokijua sasa wale wahalifu wameonekana wamekufa kwa kupigwa risasi ssa hao wananchi waliwauwaje wakati wenyewe hawana hatA silaha za...
Habarini za asubuhi wakuu natumia cmu ya nokia E7 kuna alama kama ya power saver inatokea kwenye upande wa battery lakini nikijaribu kuitoa haioneshi kama imetoka tatizo nn naombeni kujuzwa kama ina madhara.
Inatia uchungu sana na hayo ni kama baadhi ya mambo tu ktk jeshi la polisi lkn yapo mengi sana ambayo yamejificha watawala wamekaa kimya kwa sbb ya undungu hata katika sehemu muhimu kwenye jamii lakini naamini itafikia wakati watajua watanzania wanahitaji nn.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.