Nasikia kuna uwezekano wa Nyamagana na Ilemela kuchukuliwa na CCM 2015. Je ni kweli?
na ndiyo kawaida yao.usishangae tanesco wakakata umeme kesho, ili watanzania wenye nia ya mabadiliko wasifuatilie kupitia tv.
Ccm wana wivu sana.
Nasikia kuna uwezekano wa Nyamagana na Ilemela kuchukuliwa na CCM 2015. Je ni kweli?
Ina maana kesho hakuna mkutano wa hadhara kama tulivyosikia hapo awali?
At night? what safety assurance will be given to members after they have left the scene????
Wamejiandaa kufa wangapi???? Maana taarifa za kiintelijensia zimeonesha .....