Unajua inawezekana kabisa Watanzania sasa tumepigwa ganzi ya ufisadi...
Mkuda?Kibanda mkuda?Kumbe ndio jina linalomfaa!Kwa uozo huu alafu anatokea mkuda mmoja anasema eti Kinana ni Kimbunga! Kinana na aoneshe njia basi si ndio kero hizi? Shwaini! CCM wameshindwa kusimamia serikali yao kuna muujiza wa Kinana hapo.
Unajua inawezekana kabisa Watanzania sasa tumepigwa ganzi ya ufisadi...
Tutaongea mpaka maneno yataisha ila kwao inabakia kuwa 'kelele za chura hazimzuii tembo kunywa mahi'. Tupeane pole Watz.
Unajua inawezekana kabisa Watanzania sasa tumepigwa ganzi ya ufisadi...
asante.. pole na wewe mtanzania mwenzangu,Tutaongea mpaka maneno yataisha ila kwao inabakia kuwa 'kelele za chura hazimzuii tembo kunywa mahi'. Tupeane pole Watz.
Mkuu Mzee Mwanakijiji ni nani aliibua hii kashafa?Unajua inawezekana kabisa Watanzania sasa tumepigwa ganzi ya ufisadi...