Recent content by kamimbi

  1. K

    Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

    kwakifupi sana nashukuru kwa wachangiaji waliotangulia, wametoa maoni na hadi kwa vielelezo vya ramani, vinaeleka sana, yangu ni haya, nikianzia mwanzo kabisa maelezo ya awali yanapotosha kwasababu yanatoa uhalali wa wamalawi kuchukua nziwa eti tu kwasababu linaitwa malawi, kwani tanzania...
  2. K

    CCM Kirumba yawa jiko la kupikia Chipukizi wa CCM

    hayo yanakuja soon uwanja wa taifa na wa uhuru, wenye mapenzi mema na tz tuombe mungu tusifike huko maana dunia nzima haitatuelewa
  3. K

    zanzibar tunakuja kuwashika

    kampeni za siku hizi usharobaro tu, hayo yote ya nini, gharama kumbwa ambazo zingesaidia madoctor mnafanyia show, hapo si cdm, ccm wala cuf wote wezi tu. mala kumi wachague hata nccr maana sijaona majigambo yao ya kisharobaro,
  4. K

    Kenya Police..... Operation Linda Tumbo!!!

    muombeeni, mwenzenu mgonjwa nie mnaweka comed.
  5. K

    Wasukuma kwa ugali huwawezi!

    du!!!!!! umejitahidi kujitetea kwa hoja za msingi ambazo wanaojua ukweli wake ni wasukuma, bado nasita kuamini kama si wasukuma kwani mila na desturi zao sizijui, we msukuma jasili. big up man.
  6. K

    Data Security- Wazungu Wameendelea Sana

    i've not seen any development concept there.
  7. K

    haki sawa kwa wote

    mbona dem kama analia vp? au kabakwa! du pole mama
  8. K

    ukinirukia sikukwepi

    wahehe hapo denda linawatoka kinoma, wanatamani kadondoke wakakapige kitoweo
  9. K

    Vipaji vingine bora uende darasani tu.

    huyu anahamasisha mambo ya devid cameroon, hapo anamaanisha kuwa kama chupa ya soda inawezaku.............. je mambo mengine? acheni uoga. ila kama una mtoto anayependa kufanyia zoezi kila anachokiona du, hapo msalie mtume maana balaa lake sijui litaishia wapi.
  10. K

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Pole kwa kazi ngumu uliyoifanya kwa muda mrefu, tena shukrani kwa namna ulivyo tuwakilisha vizuri, nadhani sasa ni muda wa kurudi uje upumzike, mambo ya kazi waachie na wengine ambao bado hawajawahi kupata riziki za kazi, kama ni kukuza jina basi umelikuza mno kiulimwengu, hakuna atakae kusahau...
  11. K

    Dr. Hamis Kigwangalla, Kugoma ni sawa?

    Tanzania nadhani wanaoishi kwa amani ni watu wapumbavu tu, ila kwa mwenye akili sidhani kama wanaridhika na haya yanayoendelea, serikali kama baba imejenga tofauti kubwa sana kati ya aliyenacho na asiye nacho kwa watumishi walio humohumo ndani ya serikali, hili linaonekana na kila mwenye akili...
  12. K

    Mpaka wa bahari watikisa Muungano

    ukweli uelezwe kwa kujibu swali la kwanini wanataka kufanya hivyo? huenda kunasababu za msingi kitaifa, anaye jua sababu naomba anijuze ndo nisapoti au nikanushe.
  13. K

    Picha: Mazishi ya Regia Mtema Ifakara

    Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina, kifo cha huyu dada inapaswa tujifunze kitu kikubwa sana kisiasa kwa ile mvua kubwa sana iliyokuwa inanyesha then watu wakaendelea na ratiba ya mazishi bila kukimbia, tena wakiwa wa ccm na vyama vingine ni dhahili kuwa alikuwa ni mwanasiasa...
  14. K

    Daraja la Kigamboni au Reli ya kati? Kipi kina kipaumbele?

    kusema ukweli ni kwamba reli ya kati ina msaada mkubwa zaidi kwa taifa ukipambanisha na daraja la kigamboni, lakini kwasababu kipimo cha maendeleo ya tz serikali huchukulia ni dsm ndo sababu hilo daraja likapewa kipaumbele, TIME WILL TELL. IM Sure every thing gonna b alright.
  15. K

    Nini hatma ya CUF?

    MWISHO WA CUF Kwa kawaida mto unapo elekea kukauka maji hujisogeza zaidi katk mkondo mwembamba, maji machache yakigawanyika nirahisi sana kukauka, mie nawashangaa hawa akina Rashid badala ya kuungana wasaidie uhai wa chama naona wameamua mmoja amwage mboga na mwingine amwage ugali, hapo kweli...
Back
Top Bottom