mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Salaam,nimeskia katika Radio moja ikisoma Magazeti kuwa Tahariri inamlaani Dr(mb)Hamis Kigwangala kugomesha madaktari wenzake,
Napenda mnisaidie kujua ni sawa kwake kama Mbunge kfanya hivyo?au kama Daktari ni sawa kuacha wagonjwa wafe kwa ajili ya posho?naomba sana kujua kutoka kwenu....
Napenda mnisaidie kujua ni sawa kwake kama Mbunge kfanya hivyo?au kama Daktari ni sawa kuacha wagonjwa wafe kwa ajili ya posho?naomba sana kujua kutoka kwenu....