figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
twatoka wilayani Mbinga twaelekea kijiji cha Darpori kilichopo mpakani mwa nchi za Tanzania na Msumbiji. ni kilometa 82. mia
mbona dem kama analia vp? au kabakwa! du pole mama
hilo ni vumbi mkuu. unafikiri kushikilia kwa kilometa 82 mchezo?.mia
hapo wapo kijiji cha mpapa,halafu kijiji cha tingi.mpaka dar pori.
Alaaaa kumbe unapita mpapa mpaka Tingi!!!!! mi nilidhani wanapitia Liparamba.
gujumwike lena gwe capitano?