MWISHO WA CUF
Kwa kawaida mto unapo elekea kukauka maji hujisogeza zaidi katk mkondo mwembamba, maji machache yakigawanyika nirahisi sana kukauka, mie nawashangaa hawa akina Rashid badala ya kuungana wasaidie uhai wa chama naona wameamua mmoja amwage mboga na mwingine amwage ugali, hapo kweli kuna uzalendo wa kisiasa? Wanamtakia nini makamu wa kwanza wa Rais ZNZ? nadhani kwa msimamo alioendelea nao leo kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV ni kuua chama.
Kwa kawaida mto unapo elekea kukauka maji hujisogeza zaidi katk mkondo mwembamba, maji machache yakigawanyika nirahisi sana kukauka, mie nawashangaa hawa akina Rashid badala ya kuungana wasaidie uhai wa chama naona wameamua mmoja amwage mboga na mwingine amwage ugali, hapo kweli kuna uzalendo wa kisiasa? Wanamtakia nini makamu wa kwanza wa Rais ZNZ? nadhani kwa msimamo alioendelea nao leo kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV ni kuua chama.