Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
mkuu mimi soda nimeachana nazo..io chupa unaiona lakini kichwa chake kilipo?Sinywi tena Soda za kwenye chupa wala bia.
Itabidi waanze kutengeneza chupa kubwa mdomoni.
kipaji hiki kaka..hakuna kukomaa kwa aina hii.wanaokomaa ni ma mangi wanaanzisha maduka na magengehivi hiki ni kipaji au kukomaa?
Kweli mkuu unasapoti mtu kujiingizia chupa mata.koni mbele ya hadhara wakiwemo watoto! Je mtoto akiiga akaenda kujaribu nyumbani! huoni kuna madhara hapo?Bora kujiajiri kwa jinsi hiyo kuliko kuwa kibaka, wakakufungia tairi shingoni na kukuchoma moto.