Kwa kweli voda msipo chukua hatua Kwa voda shop yenu ya Musoma mjini mtakimbiza wateja maana hawana msaada Kwa wateja kuanzia Meneja wa kituo anamajibu mabovu sana na huduma ni mbovu maana hata fomu maana za kujaza mteja unapewa ukatoea copy mwenyewe Nje ya ofisi na kila siku ofisini kwao system...
Kwa mujibu wa sheria lazima uanzie baraza la usuluishi na kwa muislam baraza la usuluishi ni bakwata ikishindikana kusuruishwa bakwata watakupa karatasi ya kwenda nayo mahakamani kwa ajili ya kuvunja ndoa na kupewa haki yako ya taraka huo ndio utaratibu kisheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.