Hess
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 593
- 674
Kama hata bangi hujui kuiandika sembuse hiyo hukumu utamudu hata title yake kweli?Hayo maoni ya rage ni matatizo ya kuvutia bange chooni
Ingekuwa vyema akaisoma vizuri hiyo hukumu kabla ya kuropoka
Kama hata bangi hujui kuiandika sembuse hiyo hukumu utamudu hata title yake kweli?Hayo maoni ya rage ni matatizo ya kuvutia bange chooni
Ingekuwa vyema akaisoma vizuri hiyo hukumu kabla ya kuropoka
'Mind your business lady'Kama hata bangi hujui kuiandika sembuse hiyo hukumu utamudu hata title yake kweli?
Na uturuki?Alienda Algeria kuishangilia MO BEJAIYA baada ya kufungiwa na club yake...
YAANI HAWA JAMAA NI MAP*****VU SANA.Points zipi? Ligi ya mabingwa au shirikisho? Wakati Vpl inaanza kessy alikuwa na mkataba na simba?
Bang mbaya sana ndio kaongea nn
Manji ni mvurugaji wa soka alafu sijui mnatafuta mchawi ganj zaidi yake.
Mo hawezi fanya upuuzi wa Manji.
Naona sasa soka tutabaki na la epl.
Simba msichukue hicho ki sent,nendeni FIFA
Simba msichukue hicho ki sent,nendeni FIFA
Yanga wapokonywe vp Ikiwa Tff wenyewe ndio walimuizinisha mchezaji acheze, tatizo lipo TFF maana kuna siasa za uyanga na usimba
Sheria za mpira ni uwanjani, na zipo 17. Hii ya Simba Koko inaitwa 'tafuta ahueni'. Miaka 4 bila kunusa nje sasa mnahaha na kila mbinu. Njooni uwanjani mpigwe bao, acheni majungu.Simba fanyeni hivyo wajifunze Sheria za mpira
Rage ana hasira na Yanga na hana cha kuwafanya sasa anapagawa. Nenda kamwambie tumemuacha Mbuyu Twite, maana alilia machozi tulipompiga bao la usajili. Na hapo ndio utajua Yanga si watu wa mchezo mchezo. Zimebaki points 2 mnaweweseka kwa kuwa tunawapumulia mgongoni tehe tehe teheHapo hakuna jungu mkuu,tulieni sindano iwaingie,mshazoea kuzingua..
NgassaYebo hovyo sana,naunga mkono hoja.
Tff hawawez Fanya ujinga huo kujitekenya na kucheka wenyewe,. Yanga hawana kosa juu ya kumtumia kessy maana waliruhusiwa na kamati ya mashindano, kwa hiyo yanga wana Baraka zote za Tff juu ya utumizi Wa KessyView attachment 445009
Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Rage ameitaka klabu ya Simba kwenda mbele zaidi kudai haki yao na si kukubali kiasi cha shilingi milioni 50 kama fidia kama livyoamriwa na Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji.
Katika hatua nyingine Rage amesema, Yanga inatakiwa kupoteza pointi zote katika michezo ambayo walimtumia Kessy kwenye kikosi chao.
“Maadam TFF wanakiri kwamba Kessy alikuwa mchezaji halali wa Simba SC na Yanga wamevunja mkataba kabla ya wakati, Yanga wanatakiwa wanyang’anywe pointi zote walizoshinda dhidi ya timu nyingine kabla ya uamuzi wa TFF,” amesema Rage wakati akihojiwa na kipindi cha michezo cha Sports Extra cha Clouds FM.
“Simba wanatakiwa wasichukue hizo milioni 50 watakuwa wamejidhalilisha sana, kwa mujibu wa mkataba wa Simba, wanatakiwa wapate 1.2 billion kama dola za 600,000 kimarekani. Waende FIFA kwa ushahidi wote uliokuwepo na TFF wameshiriki kuvunja mkataba kwahiyo ushahidi upo wa kuwatia hatiani Yanga.”
“Kessy alikwenda Uturuki na Yanga wakati bado anamkataba na Simba, akaenda Algeria wakati bado yupo ndani ya mkabataba, wakienda ubalozi watakuta ushahidi lakini wakienda uhamiaji watapata pia ushahidi.” source:Mpenja blog
- JE Madai Haya Yana Uhalisia Wowote Kisheria?
- Kwani Kwa sasa (baada ya uamuzi wa kesi)Kessy ni Mchezaji Halali wa Yanga? Kuanzia Lini