Recent content by Kalonzo Msyoka

  1. K

    Uhakiki wa watumishi wa umma unazidi kuharibu maslahi ya watumishi

    Kama unaona serekali haikuridhishi acha kazi mbona munalalamika sana
  2. K

    Tumedanganywa: Kumbe mikataba ya madini haitabadilishwa

    Bunge litaongezewa ck ilikujadili nakubadili Sheria za Madini sio mkataba Sisi tulisaini mkataba ila tnabadili sheria
  3. K

    Kabla ya uhuru Kilimanjaro ina vyama vingi bila visasi

    Njiapanda ya mtwara imeanza hivohivo
  4. K

    Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

    Wahenga walisema kibaya kinajitangaza nakujitembeza sasa naelewa maana yake Kama anayoyafanya ni mazuri kwa nini tulazimishane kumpongeza Karibuni Kenya
  5. K

    Arusha: Wananchi waandamana kumuunga Mkono Rais!

    Nchi hii kira kitu unaambiwa uzarendo kwani wakikaa wakatulia tu watakuwa hawajamuunga mkono huyo naniliu wao wasituchoshe bana nini maana ya neno uzalendo
  6. K

    Vifaranga wa kuku wa Kienyeji

    Kuku wakienyeji hafugwi ndani ya banda
  7. K

    Spika Ndugai aelezea utaratibu wa Chenge kuvuliwa uenyekiti wa bunge

    Hivi change anahojiwa nini KWA mfano?
  8. K

    Guest/Lodge Mwanza

    Watu wanapenda sifa tu ukiona hivo nimara yakwanza kusafiri huyo vibao vpo kibao tu vyote vimeandikwa majina ya Lodge
  9. K

    Eeeh Mungu, Mlinde, na Mkinge, Tundu Antipas Lissu

    ccm ndio wametufikisha hapa yote aliyoyasema Magufuri ni maamuzi ya serekali yenye baraza la Mawaziri walio shinda kwenye ubunge kupitia chama cha mapinduzi ccm
  10. K

    IKULU: Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya Pili ya Mchanga. Waliosaini Mikataba Wakaangwa

    unataka kumuona Mungu eee subiri utamuona mkitania mambo yenu Mungu asitajwe bila sababu
  11. K

    Hivi utaanzia wapi kulikataa hili li-V8?

    Watu wanatageti zao Hivi huyu mama ameolewa au?
  12. K

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Nakwataarifa yenu watu wanafanya vikao kira ck tunawaona wanatoka Dodoma ,Dsm wanakuja Moro everyday naposho zipo kama kawaida msisikilize maneno ya yawatu
  13. K

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Tatizo lenu wengi munaishi waisha ya watu hamtaki kuishi yenu
  14. K

    Kwanini wanawake wengi wanapenda kuolewa na wanaume wenye degree+?

    Mm 4m4 Mke wangu Degree ya utawala na maisha yanaenda
  15. K

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Mm na mili gari moja na Nyumba na sio hivo tu nimejisomesha kwa kuungaunga now nipo vizuri na Mke ninaye nimeaanza kuhangaika na maisha nikiwa na miaka 20
Back
Top Bottom