Eeeh Mungu, Mlinde, na Mkinge, Tundu Antipas Lissu

Eeeh Mungu, Mlinde, na Mkinge, Tundu Antipas Lissu

Huyu lissu kwanza atuambie acaccia ni akina nani? Maana alikuwa anawakingia kifua
 
Watetea mafisadi chadema katika ubora wao
Mkuu nadhani hujui taabu ya kutokua na kazi na wakati huo huo fedha zako zimezuiliwa kwenye mifuko ya kijamii, na hii naweza kusema hujui kwa sababu kuu mbili:-
1. Labda una kazi yako inayokuingizia kipato ("Aliyeshiba hamkumbiki mwenye njaa")
2. Labda bado unakula na kulala nyumbani kwa mama. ( Free-rider)
Ila kwa haraka haraka na kwa mtazamo wangu No. 2 inaweza kuwa sahihi.
 
Amlinde kwa lipi msaliti mkubwa wa taifa alikuwa akifanya akijua hajulikani leo kaumbuka yuko kimyaaaaaa utafikiri kajinyea mbele ya umati wa watu imetafuna kwake kwani kwa sasa hana say yoyote kama hayupo vile
 
ccm ndio wametufikisha hapa yote aliyoyasema Magufuri ni maamuzi ya serekali yenye baraza la Mawaziri walio shinda kwenye ubunge kupitia chama cha mapinduzi ccm
 
Safi sana lisu,tetea wananchi achana na hawa vilaza,umewaacha mbali sana kiakili.
 
Kingsharon, you need to have your head examined....si bure. Na na before reacting to any posts, make sure you go through it, vinginevyo you may become a figure of fun. Kwani nini cha ajabu kumuombea binadamu mwenzako anayesimamia haki? Mara ngapi hata Rais wa nchi huomba kuombewa kwa Mungu, je, naye unamlaani kwa kuomba kuombewa kwa Mungu. mambo mengine usiwe unakuwa mwepesi kujibu, kuchangia au kutoa maoni. I think, If you would have gone through the whole post, you could not react like that with a lot of shit.
 
Nyumbu bana,,,,yaani mlitaka Mh Magufuli aache kuchukua hatua kwa MAFISADI na wasubiri nyie mchukue nchi ili mchukue hatua nyie.ndio maana Mkapa aliwaita wapumbavu.....
 
Kingsharon, you need to have your head examined....si bure. Na na before reacting to any posts, make sure you go through it, vinginevyo you may become a figure of fun. Kwani nini cha ajabu kumuombea binadamu mwenzako anayesimamia haki? Mara ngapi hata Rais wa nchi huomba kuombewa kwa Mungu, je, naye unamlaani kwa kuomba kuombewa kwa Mungu. mambo mengine usiwe unakuwa mwepesi kujibu, kuchangia au kutoa maoni. I think, If you would have gone through the whole post, you could not react like that with that shit.
 
Back
Top Bottom