Spika Ndugai aelezea utaratibu wa Chenge kuvuliwa uenyekiti wa bunge

Mtukufu Mkuu wa Nchi Hatujaribiwi, hatutishiwi, hatushauriwi, hatuambiwi cha kuongea.
Kitendo chako cha kutunyima tusimjadili yule rais tuliyemchagua wenyewe akaita wawekezaji na akawaelekeza wanasheria na mawaziri wapitishe sheria za kuwapa mali zetu unajaribu kutujaribu.

Tulimchagua Mkapa wenyewe, tukampa madaraka wenyewe, tukampa dola wenyewe na ukuu wa mawaziri na wanasheria wakuu aliowachagua. Tukamlipa mshahara kwa kodi zetu wenyewe. Eti leo unatujaribu tusimseme Mkapa kwa sababu ya katiba yetu wenyewe. Hapana hapana hapana Mkapa must be put to task!! Mtemi chenge hakuwa mwenyewe wala Yona. OKAM= Operesheni Kamata Mkapa ni yetu wenyewe!!
 
Atakuwa keshatishia kunyonyoa mtu nywele maana mwakyembe anajua nini maana ya nyoka mwenye makengeza
 
Km chenge anamakosa mbona miccm ndo iliyopitisha haya mambo bila kuhoji lolote?

Kibaya zaidi magufuli ameshajua utamu wa hiki kipendele cha kutokushitaki rais akiwa madarakani. Atakitumia ipasavyo!!
Hapo tayari ameshawalazimisha wanasheria wasaini mikataba ya bormberdier na wala hatapeleka bungeni ijadiliwe. Ameshawalazimisha tayari wanasheria wasaini mkataba wa ujenzi wa chato international airport na hawezi kupeleka sheria husika ipitiwe bungeni na akili kubwa za upinzani.....
Watu msio na akili mtaweweseka sana.
Na ndio maana CHADEMA sasa hivi inasambaratika.
MiCCM wwaliopitisha huo unaosema wizi ndo wepi, na wanaochukua hatua ndo Mi CCM wepi?
Mtaula wa chuya!
 
Katika ripoti ya pili ya Kamati ya kutathmini mchanga wa madini Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge ametajwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo kuwa alikuwa na mchango mkubwa wa kulisababishia Taifa hasara kubwa kutokana na kuandaa au kusaini mkataba mbovu wa madini unaoyaruhusu makampuni ya uchimbani kusafirisha mchanga huo kwenda nje ya nchi pamoja na kukubali viwango vidogo vya mrabaha kwa Taifa katika sekta ya madini.

Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa kwa Rais na Mwenyekiti wa kamati hiyo ni pamoja na kuwashughulikia viongozi na watendaji wote wa Serikali walioshiriki kusababisha hasara hii kwa zaidi ya miaka 19.

Rais Dkt. Magufuli akiongelea pendekezo hili aliagiza vyombo vinavyohusika viwaite watu wote waliotajwa ili wahojiwe.

Baada ya kauli hiyo ya Rais, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa Chenge ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Bunge mpaka atakapoitwa na kuhojiwa kuhusu mchanga wa madini (makinikia). Spika Ndugai alisema hakuna kanuni inayomzuia Chenge kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bunge kwa sasa.

“Kwa sasa hapana. Ataachia nafasi hiyo atakapoitwa kuhojiwa; akishathibitika ndio atatoka kwenye nafasi ya Uenyekiti,” alisema.

Utaratibu unaeleza kwamba Ofisi ya Spika ikishapata taarifa ya Mbunge au kiongozi fulani wa Bunge kuhitajiwa na chombo cha dola na Spika akatoa ruhusa hiyo, Mbunge huyo ataachia madaraka yake na kubaki na ubunge tu.

Mwenyekiti wa kamati ya pili ya kuchunguza hasara iliyoletwa na kusafirisha mchanga wa madini, Profesa Nehemiah Osoro alisema kuwa wakati Taifa linapitisha Sheria na mikataba ya hovyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa ni Andrew Chenge.

Maelezo ya spika ni sawa na kutokuwa na imani na ripoti iliotajwa..Kama mwenyekiti ametaja jina na unasema kama atakutwa na tatizo mhusika means binge liko kwenye list ya kutoiamini ripoti ya raisi

Nawaza jana na juzi walikuwa wanajadilianna nini kuhusu msimamo wa raisi kama yaliyopo ayaaminiki kwao..Utaipata tanzania tu..Nashangaa mpaka sasa kwanini ajaitwa kujadiliwa na wakiotajwa wote..
 
Report si hukumu!
Tusitetee vitu ambavyo sio sahihi mkuu.Ni kweli si hukumu,lakini ukishatuhumiwa unakosa moral authority,kwa hiyo ni vema ukakaa pembeni.Kwa watu na serikali makini hili liko wazi, wala halihitaji mjadala.
 
Katika ripoti ya pili ya Kamati ya kutathmini mchanga wa madini Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge ametajwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo kuwa alikuwa na mchango mkubwa wa kulisababishia Taifa hasara kubwa kutokana na kuandaa au kusaini mkataba mbovu wa madini unaoyaruhusu makampuni ya uchimbani kusafirisha mchanga huo kwenda nje ya nchi pamoja na kukubali viwango vidogo vya mrabaha kwa Taifa katika sekta ya madini.

Miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa kwa Rais na Mwenyekiti wa kamati hiyo ni pamoja na kuwashughulikia viongozi na watendaji wote wa Serikali walioshiriki kusababisha hasara hii kwa zaidi ya miaka 19.

Rais Dkt. Magufuli akiongelea pendekezo hili aliagiza vyombo vinavyohusika viwaite watu wote waliotajwa ili wahojiwe.

Baada ya kauli hiyo ya Rais, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa Chenge ataendelea kuwa Mwenyekiti wa Bunge mpaka atakapoitwa na kuhojiwa kuhusu mchanga wa madini (makinikia). Spika Ndugai alisema hakuna kanuni inayomzuia Chenge kuendelea kuwa Mwenyekiti wa Bunge kwa sasa.

“Kwa sasa hapana. Ataachia nafasi hiyo atakapoitwa kuhojiwa; akishathibitika ndio atatoka kwenye nafasi ya Uenyekiti,” alisema.

Utaratibu unaeleza kwamba Ofisi ya Spika ikishapata taarifa ya Mbunge au kiongozi fulani wa Bunge kuhitajiwa na chombo cha dola na Spika akatoa ruhusa hiyo, Mbunge huyo ataachia madaraka yake na kubaki na ubunge tu.

Mwenyekiti wa kamati ya pili ya kuchunguza hasara iliyoletwa na kusafirisha mchanga wa madini, Profesa Nehemiah Osoro alisema kuwa wakati Taifa linapitisha Sheria na mikataba ya hovyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali alikuwa ni Andrew Chenge.


Huyu mtu japo anasifikana kwa uchawi lakini hii shutuma lazima imlaze sero watu wakajisevie.....Uzee si hoja, makunyanzi ya makalio yake yatawapa wafungwa hamu ya kumchezea.
 
Back
Top Bottom