Inasemekana kuwa wanafunzi was chuo cha taifa cha usafirishaji wamekua wakipata shida sana na mikopo yao ya elimu ya juu kutokana na mambo yafuatayo!
1. Ubovu wa ratiba za chuo hicho.
2. Uongozi usiokuwa na utendaji wa kuzingatia muda na uhitaji!Uhasibu.
3. Kupuuzwa kwa serikali ya wanafunzi...
Jana nilifanya mahojiano na Mkuu wa kituo Fulani kinachosaidia yatima na wasiojiweza alichoniambia kilinishtua kidogo!! Anadai kwamba kwa sasa wazungu wamesitisha misaada baada ya kituo kukataa kusambaza kondom na contraceptives !! Imagine!! Hawa wazungu wanatutaka nn kama sio kuua uzao wa...
We actually having a problem with most goverment organisations especially Tanesco!! In most department they work under memo recognitions ,,no matter how early and in need someone is!!! Notable example The main head quarter Rombo district!! Ni jipu!! Were is magufuli plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.