ubaya wa dar express ana magari mengi ya zamani yanaanza namba C unakuta yamechoka sana.panda dar express semi luxury marcopolo viaggio 1050 G7
Mkuu upo karne ya ngapi? Dar ex press na Kilimanjaro gari zao nyingi znazaid ya miaka nane njiani... kwa nini upande vtu chakavu wakati kuna magari mapya masafi na unasafir kwa luxury vizuri.Safari za Dar Arusha sijawahi kupanda bus zaidi ya Kilimanjaro na Dar Express.
maamaee unanikumbusha mbaliWHATEVER IS EXCELLENT
Siyo kweli Dar Express inayoishia Na reg DFR ni full A/C hadi mwisho Wa safari. Jana tu nimelipanda to arusha. Bei ni 33tau. Njiani kula pale highway uje na 10 tau. Ndani wanasave soda au maji moja Na pkt moja ya biskuti za kitoto ya shs 150 .msafiri jiandae koti au sweta au shuka zitoDar express na kilimanjaro hakuna hata moja lenye ac joto sana
Ulipanda mwaka gani Dar express katoa scania mpya marcopolo dfr full ac zote LuxuryDar express na kilimanjaro hakuna hata moja lenye ac joto sana
Panda urio safariHabari zenu ndugu!!
Nipo Dodoma. Ninategemea siku chache zijazo Mungu akijaalia uzima, nitasafiri kwenda Arusha.. Lakini safari yangu ya Arusha itaanzia Dar Es Salaam.
Ninategemea kusafiri kwa basi. Ombi langu kwenu ni, kuomba mnijulishe mabasi ni mabasi ya kampuni gani ambayo ni Luxury (First Class) kutoka Dar kwenda Arusha na pia nauli ni shilingi ngapi?
NB:
Ikumbukwe kuwa Sumatra wametenga mabasi kwa kufuata madaraja. Kuna Luxury, Semi Luxury na Ordinary classes.
Mfano. Nauli kutoka Dodoma kwenda Dar kwa Luxury ni Tsh 40,000/- wakati kwa Semi Luxury ni Tsh 20,000/-
Je, Dar - Arusha je?
Mkuu panda Dar exp nauli 35,000Habari zenu ndugu!!
Nipo Dodoma. Ninategemea siku chache zijazo Mungu akijaalia uzima, nitasafiri kwenda Arusha.. Lakini safari yangu ya Arusha itaanzia Dar Es Salaam.
Ninategemea kusafiri kwa basi. Ombi langu kwenu ni, kuomba mnijulishe mabasi ni mabasi ya kampuni gani ambayo ni Luxury (First Class) kutoka Dar kwenda Arusha na pia nauli ni shilingi ngapi?
NB:
Ikumbukwe kuwa Sumatra wametenga mabasi kwa kufuata madaraja. Kuna Luxury, Semi Luxury na Ordinary classes.
Mfano. Nauli kutoka Dodoma kwenda Dar kwa Luxury ni Tsh 40,000/- wakati kwa Semi Luxury ni Tsh 20,000/-
Je, Dar - Arusha je?
Vipi kuhusu Mlangarini Express?
U cant be seriousTahmeed or happy nation
Usb internet hadi chooni TV mpaka nje
Kilimanjaro na dar express zishachokagaKilimanjaro express
Nadhani Sumatra wana vigezo vya Normal, Semi luxury na Luxury. Haihusu upya wa bus bila shakaNini maana ya bus kuwa Luxury?
Ni kuwa na AC, Video, kochi zuri, Socket ya kuchajia simu?
Ni upya wa gari? Usafi? Brand(Scania, Benzi)?
Ni bei ya nauli? Mbwembwe? Swaga?
Wivu tuu. Kila mwaka wanatoka Na kitu jipya! Hiyo DFR ya Dar Express ni ndege ya ardhini. Tatizo wanasave biskuti za kitoto! Huduma zingine na gari Big Up.Kilimanjaro na dar express zishachokaga