Kwani Tanesco wanafaa?kifupi hawafai!,ktk mashirika ya umma ninayoyachukia la kwanza ni Tanesco haiwezekani nilipie nguzo,waya,service line kisha bado nalipia service charge,eura,rea,kodi ya umeme ninaotumia nyumbani kila mwezi wakati nalipa kodi zote za serikali ,umeme bei kubwa halafu umeme...