mimi kama kada wa ccm mbona nape hajibu hoja sikuhizi ana nikatisha tamaa kijana wake alafu tangazo kwa wanachama wenzangu wa ccm blog yetu imefunguliwa tuitembelee basi tutoa maoni yetu kule tuwaachieni jamii forum yenu.
mimi nashanga bukoba ni mkoa ambao unongoza kwa wasomi lakin hawajitambui sijui kwanin labda kwenye jimbo la ndasa inamaana hata oparation sangara haikueleweka tuonyesheni njia mlio elimika mnashindwa hata na mara au ndio wasomi waoga mnaelimu hamjui kuitumia
WEWE NENDA KALE COURSE KWENYE WEB MOJA HIVI WWW.INDABA INAFRICA KALE MAUJUZI BUT MMH SIJUI MAANA KUMPATA MWENYE BIKILA SAIZI LABDA PRIMARY WALISHA KUA USED LONG TIME HAO
we MBONA UNAJIFANYA MCHAMBUZI HAYA WAMEKUKERA NIN SASA MBONA UJUI SHERIA WEWE WAMEKWAMBIA HAWATA APISHWA MILELE ACHA KIHELE HELE CDM INAENDA KWA TIMING
Dawa ni wanainchi kuwa wakari wakati wa kupitisha au kupiga kura ya kupitisha katiba tukiwaachia magamba imekula kwetu na watoto wetu magamba waliisha jijenga watakwenda ulaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.